maroon7
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 11,341
- 15,831
Hivi karibuni kumekua na tabia ya bodaboda kufunga honi kubwa kama za malori na mbaya zaidi wanapiga honi hovyohovyo na kusababisha adha kubwa ambazo zinaweza pelekea ajali.
Naomba jeshi la polisi lisifumbie macho hili swala maana lisipodhibitiwa mapema bodaboda zote watafunga sababu akili zao zinafanana.
Naomba jeshi la polisi lisifumbie macho hili swala maana lisipodhibitiwa mapema bodaboda zote watafunga sababu akili zao zinafanana.