dosama
JF-Expert Member
- Dec 25, 2010
- 912
- 957
Polisi katika manispaa ya mji wa Morogoro wamezuia operation sangara ya CHADEMA kwa sababu za kuwa hakuna askari wa kutosha kusimamia mikutano yao katika mkoa wa Morogoro.
Lakini pamoja na makatazo hayo CDM wamedai wao wataendelea na mikutano yao kama kawaida kwa sababu haisuani na fujo wala vurugu na siku zote Polisi huwa hawawasaidii kwa lolote.
Concern
Jeshi la PolisiCCM liko kwa ajili ya kuzuia CDM sio kulinda
Lakini pamoja na makatazo hayo CDM wamedai wao wataendelea na mikutano yao kama kawaida kwa sababu haisuani na fujo wala vurugu na siku zote Polisi huwa hawawasaidii kwa lolote.
Concern
Jeshi la PolisiCCM liko kwa ajili ya kuzuia CDM sio kulinda