Vijana wetu wa jeshi la polisi wanafanya kazi kubwa sana, nzuri na yenye kutukuka. Leo wamepambana na majambazi mjini Mwanza na kufanikiwa kuyaua majambazi mawili. Lakini vipi serikali yetu, mbona inawasahau? Mishahara midogo, makazi duni. Sijui mhe Vuai kama ataweza kuwatetea vijana wtu hawa katika cabinet. Wamesahaulika kwa kweli.