Polisi wengi ni wezi!

Waziri kivuli

JF-Expert Member
Nov 30, 2016
2,987
3,450
Takribani mwezi mmoja uliopita nilienda kigoma wilaya ya kasulu katika kijiji cha kabanga!

Kulitokea tafrani ambapo mwananchi mmoja aliuwawa na wananchi wenye hasira kal(sitalizungumzia hili)!

Baada ya tukio hilo, waliletwa kikosi FFU na askari wa kawaida kurejesha amani!

Wananchi wengi hasa wanaume walikimbilia mashambani kujificha! Na hapo ndipo polisi hao walopoonesha rangi zao halisi!

Walivamia biashara za watu zilizotelekezwa na kuchukua mali na fedha, walivunja hadi fridge na kubeba vinywaji!

Walivamia nyumba za watu na kupora pesa na simu, kuna rafiki yangu alijificha juu ya paa la nyumba, alishuhudia polisi wakivunja mlango na kupora simu 2 na pesa taslimu sh 300,000!

Walikuwa wanakamata yeyote wanayemuona!Na walipowafikisha kituoni, waliwapiga kabla ya kuwaingiza mahabusu, kuna mzee mmoja alivunjwa mguu kwa kipigo akiwa kituo cha polisi!

Kwanini polisi wanatenda haya? Kama wao ni wezi, nani wa kulinda mali zetu?
 
Takribani mwezi mmoja uliopita nilienda kigoma wilaya ya kasulu katika kijiji cha kabanga!
Kulitokea tafrani ambapo mwananchi mmoja aliuwawa na wananchi wenye hasira kal(sitalizungumzia hili)!
Baada ya tukio hilo, waliletwa kikosi FFU na askari wa kawaida kurejesha amani!
Wananchi wengi hasa wanaume walikimbilia mashambani kujificha! Na hapo ndipo polisi hao walopoonesha rangi zao halisi!
*Walivamia biashara za watu zilizotelekezwa na kuchukua mali na fedha, walivunja hadi fridge na kubeba vinywaji!
*walivamia nyumba za watu na kupora pesa na simu, kuna rafiki yangu alijificha juu ya paa la nyumba, alishuhudia polisi wakivunja mlango na kupora simu 2 na pesa taslimu sh 300,000!
*walikuwa wanakamata yeyote wanayemuona!Na walipowafikisha kituoni, waliwapiga kabla ya kuwaingiza mahabusu, kuna mzee mmoja alivunjwa mguu kwa kipigo akiwa kituo cha polisi!

Kwanin polisi wanatenda haya????? Kama wao ni wezi, nani wa kulinda mali zetu????
Watawala hawawezi kukusikia kwa sababu uslama wa Tanzania upo kwa watawala na CCM.
Anything out of CCM ujijue mwenyewe.
 
Yan m nilidhan n first to reply



Hata ivo wakuu pole yao hao raia
 
Takribani mwezi mmoja uliopita nilienda kigoma wilaya ya kasulu katika kijiji cha kabanga!
Kulitokea tafrani ambapo mwananchi mmoja aliuwawa na wananchi wenye hasira kal(sitalizungumzia hili)!
Baada ya tukio hilo, waliletwa kikosi FFU na askari wa kawaida kurejesha amani!
Wananchi wengi hasa wanaume walikimbilia mashambani kujificha! Na hapo ndipo polisi hao walopoonesha rangi zao halisi!
*Walivamia biashara za watu zilizotelekezwa na kuchukua mali na fedha, walivunja hadi fridge na kubeba vinywaji!
*walivamia nyumba za watu na kupora pesa na simu, kuna rafiki yangu alijificha juu ya paa la nyumba, alishuhudia polisi wakivunja mlango na kupora simu 2 na pesa taslimu sh 300,000!
*walikuwa wanakamata yeyote wanayemuona!Na walipowafikisha kituoni, waliwapiga kabla ya kuwaingiza mahabusu, kuna mzee mmoja alivunjwa mguu kwa kipigo akiwa kituo cha polisi!

Kwanin polisi wanatenda haya????? Kama wao ni wezi, nani wa kulinda mali zetu????
Duh
 
hivi mtu akiwa juu ya bati anaweza kushuhudiaje mtu akibeba fedha taslim laki tatu. hapo mkuu chumvi unless huyo jamaa macho yanauwezo mkubwq wa kuzoom.

hapo kama kweli ni uharifu tu na wananchi walioibiwa ulipaswa kuwashauri wqfuate utaratibu. ndio maana huwa tunasikia wanafukuzwa kazi pia.
 
hivi mtu akiwa juu ya bati anaweza kushuhudiaje mtu akibeba fedha taslim laki tatu. hapo mkuu chumvi unless huyo jamaa macho yanauwezo mkubwq wa kuzoom.

hapo kama kweli ni uharifu tu na wananchi walioibiwa ulipaswa kuwashauri wqfuate utaratibu. ndio maana huwa tunasikia wanafukuzwa kazi pia.
Mkuu tukio limetokea mchana, jamaa baada ya kuona kipira kinasimama nyumbani Kwake, haraka akarukia kenchi!Ndio hapo akagundua mezani aliacha simu 2 na fedha tsh 300000!
Ilibidi aache tu polisi wachukue maana angekohoa tu, ilikuwa virungu na kuunganishwa na kesi ya mauaji!
 
Itafika wakati itabidi tuanzishe local police departments kwenye kila wilaya. Yaani kila wilaya inakua na polisi wake wenye uniform zao tofauti na wanao ajiriwa na kulipwa na wananchi kwa ajili ya kuwatumikia hao wananchi. Hawa policcm wanakua wanaitwa mara mojamoja tu kutoa msaada inapo hitajika. Nchi nyingi tu zilizo staarabika zina huo utaratibu, vijana wenu wenyewe mliowalea na kawaajiri hawawezi kufanya ushenzi dhidi yenu wenyewe na wakifanya mnaweza kuwawajibisha kirahisi
 
Ndio kazi ya polisi kukamata,kupiga na kuua nk.
Sasa ulitaka wafanye kazi gani?
 
Uchochochezi huo, wakati huo wewe ulikuwa wapi? Labda walikuwa wanakusanya vielelezo?
 
hivi mtu akiwa juu ya bati anaweza kushuhudiaje mtu akibeba fedha taslim laki tatu. hapo mkuu chumvi unless huyo jamaa macho yanauwezo mkubwq wa kuzoom.

hapo kama kweli ni uharifu tu na wananchi walioibiwa ulipaswa kuwashauri wqfuate utaratibu. ndio maana huwa tunasikia wanafukuzwa kazi pia.
Unatetea ujinga!!?? Yeye ndio alioacha laki tatu kwenye nyumba yake, na aliona wanachukua hizo pesa, pindi aliposhuka juu ya bati na kutokuona pesa zake, unadhani angejua laki tatu kachukua nani kama sio hao polisi walioingia kwake.??
Tukemee matendo maovu kama haya, pesa na mali sio makalio kusema kila mtu anayo, ina ume kupoteza pesa au mali kwa kuibiwa kizembe.
 
Back
Top Bottom