Polisi Waweka Mgomo Baridi kutokana na Posho ambayo Ilisemwa ni 150,000 kumbe wanalipwa 100,000

JESHI LA POLISI, HALINA MTETEZI, POLISI WETU WANAFANYA KAZI KTK MAZINGIRA MAGUMU. HAKUNA OVERTIME ALLOWANCE, NIGHT ALLOWANCE, TRAVELLING ALLOWANCE, PESA ZA LIKIZO HAWALIPWI, HATA KAMA WANALIPWA NI MIAKA KUMI TOKA UANDIKIWE VOUCHER PAYMENT.

PESA ZAO ZINALIWA NA MA-OCD NA MA-RPC, MAKAZI DUNI, CHOO NA BAFU NI NYUMBA ZA MANAMBA'WANA UZALENDO KWA TAIFA,HATA IKIBIDI KUFA KATIKA KUPAMBANA NA UHALIFU. WENZAO JWTZ POSHO YAO NI 225,000tsh. POLISI 150000tsh. LEO MNAWAPA 100,000tsh HUKU BUDGET MMEPITISHA, WAZIRI KAHOJIWA NA MB MNYIKA, HAKUUMA MANENO KASEMA POSHO NI 150,000tsh.

Vueni magamba muwape polisi we tu, haki yao japo ni kidogo lakini kitawapunguzia ukali wa maisha na rushwa za tsh 50 .
 
JESHI LA POLISI, HALINA MTETEZI, POLISI WETU WANAFANYA KAZI KTK MAZINGIRA MAGUMU. HAKUNA OVERTIME ALLOWANCE, NIGHT ALLOWANCE, TRAVELLING ALLOWANCE, PESA ZA LIKIZO HAWALIPWI, HATA KAMA WANALIPWA NI MIAKA KUMI TOKA UANDIKIWE VOUCHER PAYMENT.

PESA ZAO ZINALIWA NA MA-OCD NA MA-RPC, MAKAZI DUNI, CHOO NA BAFU NI NYUMBA ZA MANAMBA'WANA UZALENDO KWA TAIFA,HATA IKIBIDI KUFA KATIKA KUPAMBANA NA UHALIFU. WENZAO JWTZ POSHO YAO NI 225,000tsh. POLISI 150000tsh. LEO MNAWAPA 100,000tsh HUKU BUDGET MMEPITISHA, WAZIRI KAHOJIWA NA MB MNYIKA, HAKUUMA MANENO KASEMA POSHO NI 150,000tsh.

Vueni magamba muwape polisi we tu, haki yao japo ni kidogo lakini kitawapunguzia ukali wa maisha na rushwa za tsh 50 .

acha kuingilia mambo yasiokuhusu..mbona polisi wanalipwa laki na 150000 toka siku nyingi labda ungewasemea walimu
 
acha kuingilia mambo yasiokuhusu..mbona polisi wanalipwa laki na 150000 toka siku nyingi labda ungewasemea walimu
No research No right to speak. Unamaanisia Polisi, au JWTz . Labda Polisi wa CHALINZE NDIO WANALIPWA 150000 .
 
Polisi ni wanafiki tu.
Maisha ya hawa watumishi wa serikali ni mabaya sana, ukitembelea sehemu zao wanazokaa unaweza kulia. Lakini wapinzani wanapokuwa wanafanya jitihada za ku-pressurize serikali kuwaangalia watu maskini polisi wakiwemo, wenyewe ndo wanakuwa wa kwanza kuwashambulia hao watetezi kwa mabomu.

Wajifunze kutoka Misri.
 
Polisi ni wanafiki tu.
Maisha ya hawa watumishi wa serikali ni mabaya sana, ukitembelea sehemu zao wanazokaa unaweza kulia. Lakini wapinzani wanapokuwa wanafanya jitihada za ku-pressurize serikali kuwaangalia watu maskini polisi wakiwemo, wenyewe ndo wanakuwa wa kwanza kuwashambulia hao watetezi kwa mabomu. Wajifunze kutoka Misri.


Hapana mkuu polisi wetu wamefungwa na sheria ngumu sana na nadhani kama ungekuwa na ufahamu ungenyamaza usidhani polisi wote wanaopoteza maisha ni siku zao kuna mambo mengi sana, polisi akigoma anaitwa muhaini na anaweza kupigwa risasi hivyo basi lazima mtambue

pili polisi wakigoma ina maana majambazi watakuwa huru siku hiyo na mwisho wa siku atayeumia ni sisi wananchi cha msingi ni jamii iandae maandamano ya kuwatetea polisi kutoka katika maisha duni.
 
Polis wanapata shida sana kwa mfano mmoja kati ya mingi ni yule dada aliepigwa risasi baada ya kumpitisha baba riz1 rong way kule mara na alipokea magizo kutoka kwa wakubwa wake naamin kwamba revolution day police wote wataomba likizo hili nao wandamane maana wamechoka naomba kuwasilisa
 
hapana mkuu polisi wetu wamefungwa na sheria ngumu sana na nadhani kama ungekuwa na ufahamu ungenyamaza usidhani polisi wote wanaopoteza maisha ni siku zao kuna mambo mengi sana, polisi akigoma anaitwa muhaini na anaweza kupigwa risasi hivyo basi lazima mtambue

pili polisi wakigoma ina maana majambazi watakuwa huru siku hiyo na mwisho wa siku atayeumia ni sisi wananchi cha msingi ni jamii iandae maandamano ya kuwatetea polisi kutoka katika maisha duni
Mkuu king umesema polisi hagomi siku tukiandamana kuwatetea wakiamuliwa kuja kutupiga risasi itakuwaje watagoma.
 
Mkuu king umesema polisi hagomi siku tukiandamana kuwatetea wakiamuliwa kuja kutupiga risasi itakuwaje watagoma.

Kuna wakati ni lazima kumkomboa mtu ata kama ataki ni sawa na kuenda kumuokoa mtu aliyechukuliwa msukule ata akisema hataki lazima kumlazimisha.

nadhani polisi ni waelewa tukijaribu kuwaokoa nao lazima wataonyesha ushirikiano nasi
 
Tatizo lililopo sio kuwa hawaruhusiwi kugoma, tatizo ni confidence ambayo uja kutokana na elimu na kuelimika sasa Polisi wetu wengi sivyo ni vyeti bandia tu!

Kama ni kutokuruhusiwa nadhani hakuna anayeruhusiwa kugoma, ila wengine uwa wanakubali lolote na liwe kwasababu wanajuwa wanaweza kufanya kazi popote na nchni yoyote sasa hatujawa na Polisi wa aina hiyo hapa Bongo.
 
Mnadanganyana tu wakubwa. Polisi wa nchi gani hao wanaoweza kutia mgomo? Hawa polisi wa Tanzania ninaowafahamu mimi? Kama wanajeshi tu wananyanyasika lakini wanaendelea kuwa watiifu kama mbwa mbele ya anayemlisha, watakuwa polisi? Hakuna polisi mwenye ubavu wa kutia mgomo baridi au mgomo moto.

Ni vizuri kuishi kwa imani hiyo,lakini usije kushangaa siku yatakapotokea,itakuwa siku mbaya kwako wewe na watawala ambao wamezoea kupunja haki za walalahoi
 
Zombe ni mwizi, jambazi na muuaji..yuko huru sababu tu tz hatuna utawala wa haki na sheria kwa watu wote. Shibuda ana mtitindio wa ubongo. So hawawezi kuwa reference ya argument yoyote ile, unless na ww you have something in common with them.
Mkuu umeniwahi tu Kakamhuyo Jamaa si tu kuwa ana kitu in common na hao Jamaa (Zombe Muuaji) na Shibuda (Chizi) Huyo anafikiri kwa Kutumia Makalio na Pia ni Nyumba Ndogo ya Mkwe.re a.ka Mamaake Mdogo na Ridhi1
 
Mgomo wa polisi tz hautakaa utokee kwasababu zifuatazo;
  1. ni kweli polisi wanawapenda chadema lakini ndio waliotumika kudhulumu haki za wananchii.
  2. elimu kwa polisi wetu bado ni ndogo na wanajijua wamepata kazi kwa mbinde hivyo wakigoma hawanapakwenda pia kujenga hoja hawawezi kutokana na kukosa elimu.
  3. viongozi wao wa juu wanalipwa vizuri na hawa wanawamudu hawa wa chini ambao ni mambumbumbu elimu walionayo ni kuu tii amri ya wakubwa hata kama wanaambiwa wawabake mama zao.
  4. polisi ni watu wasioweza kupima kutokana na upeo wao hivyo na wamekuwa wakiridhika kwa vitu vidogo wanavyopewa au kuahidiwa
  5. wamekuwa wanufaka wa rushwa na uporaji unaoendelea nchini
  6. kazi ya polisi ni kimbilio la wakosefu hivyo hawana njia mbadala ya maisha yao.
kutokana na hayo hapo polisi wa tanzania hawatakaa waje kugoma hata siku moja kwani kwa pilao na vinywaji polisi wanatawalika kirahisi.
hii ndio sababu inampa ujasiri waziri kulidanganya bunge kwamba polisi wanapewa posho 150000 kwa mwezi polisi wanasikia laini wao wanapewa 100000 bila kuhoji. hapa tunaamini watawala wanawajua vzr ndo maana hawana wasiwasi wowote. kama kunapolisi atake bisha athubutu kugoma aonyeshwe kazi
 
Yap aksante Mungu ameanza kujibu Mapigo,hata Libya ilianza hvhu mara wakaibuka watiifu na Wanaoitwa Wasiowatiifu wanaodai haki za watu na maslai ya taifa. Tz iz alound ze kona.
 
Back
Top Bottom