Hivi hapo polsi wanajionaga makomandoo hatarii wakiwadhibiti chadema.
Na ninyi vijana wa chadema mnatakiwa kujua wazi kwamba chama chenu kinawanyima usingiz watu. Kwahyo hao wanaowakamata wanataka mabosi wao walale usingiz ili wasije gombezwa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.