Polisi wavunja kongamano la BAVICHA Morogoro

Polisi wavunja kongamano la BAVICHA Morogoro

Parabolic

JF-Expert Member
Joined
Dec 3, 2013
Posts
2,755
Reaction score
2,643
Jeshi la Polisi Mkoa wa Morogro leo Julai 20, 2025 limedaiwa kuvunja kongamano la Baraza la Vijacha Chadema (BAVICHA) kuhudhuriwa na Mwenyekiti wa baraza hilo Taifa, Deogratius Mahinyila.


Taarifa kutoka BAVICHA zimesema askari wa kutuliza ghasia walizingira eneo la ukumbi wakiwa na mabomu na silaha za moto na kutoruhusu mtu yeyote kuingia ukumbini, baadhi ya vijana wamekamatwa.

IMG-20250720-WA0087.jpg


IMG-20250720-WA0086.jpg
 
Nchi hii polisi pekeyao ndio wamegoma kubadilika
 
Hao wamekiuka amri ya Maha kama, polisi wako sahihi, tena ilibidi wakamatwe
 
Watawazuia woteee na kuuwa wote lakin ukweli utabaki pale pale 😀😀😀

CCM HAMKUBALIKI NA WATANZANIA
 
Hao wamekiuka amri ya Maha kama, polisi wako sahihi, tena ilibidi wakamatwe
Si mlisema CHADEMA imejifia chama cha kina Mchengerwa na Abdul [CHAUMMA] ndio chama kikuu cha upinzani ?

Hofu ya nini hata kwa baraza la wanawake la chama kilichojifia ?

Huwa kuna muda ukichaa unatoweka na kurudi au?

Jana wakili katoa maelezo amri hiyo ni batili sasa mmeona mtumie tawi lenu la policcm baada ya kuona mahakamani mnaangukia pua.


View: https://youtu.be/GWxYlrQfObE?si=JhMqb3xTzZlNXS0J
 
Jeshi la Polisi Mkoa wa Morogro leo Julai 20, 2025 limedaiwa kuvunja kongamano la Baraza la Vijacha Chadema (BAVICHA) kuhudhuriwa na Mwenyekiti wa baraza hilo Taifa, Deogratius Mahinyila.


View attachment 3412155Taarifa kutoka BAVICHA zimesema askari wa kutuliza ghasia walizingira eneo la ukumbi wakiwa na mabomu na silaha za moto na kutoruhusu mtu yeyote kuingia ukumbini, baadhi ya vijana wamekamatwa.

View attachment 3412150

View attachment 3412151
Bavicha ni chadema walewale tu,ambao wamezuiliwa kushiriki of katiak shughuli za kisiasa./ Chapa viboko!🧷🧷
 
Jeshi la Polisi Mkoa wa Morogro leo Julai 20, 2025 limedaiwa kuvunja kongamano la Baraza la Vijacha Chadema (BAVICHA) kuhudhuriwa na Mwenyekiti wa baraza hilo Taifa, Deogratius Mahinyila.


View attachment 3412155Taarifa kutoka BAVICHA zimesema askari wa kutuliza ghasia walizingira eneo la ukumbi wakiwa na mabomu na silaha za moto na kutoruhusu mtu yeyote kuingia ukumbini, baadhi ya vijana wamekamatwa.

View attachment 3412150

View attachment 3412151
Rpc wa Morogoro aburuzwe mahakamani kwa jina lake, hawa ni kwenda nao kwa mwendo huu,period
 
Chadema hamjifunzi bado. Huwa mnatangaza ili iweje?
Mnawapa watesi wenu muda wa kujiandaa

Hilda kuna vitu vingine punguza pereperee

Acha watu wafanye ibada kama kawaida then ikiisha mnarusha kwenye mitandao lakini lengo la kuwaombea akina Mdude linakuwa limetimia.
Jifunzeni mbinu tofauti
 
Back
Top Bottom