Lyimo
JF-Expert Member
- Mar 7, 2006
- 3,826
- 2,017
Inasikitisha sana kuona jinsi polisi wanavyotumia nguvu kubwa katika kudhiru/kuuwa raia wema na kuwaacha mafisadi wakipeta.
Pia hili la wakuu wao kutoa matamshi a utetezi kwamba "walipata taarifa kutoka kwa raia wema" ili kuhalalisha uhalifu wa polisi halitavumilika.
Tunaamini polisi ni watu waliopata mafunzo ya kuhoji, kuchunguza na kubaini kuwepo kwa uhalifu ama lah. Inakuwaje hawa watu wapoteze pesa na madini yao chini ya mikono ya polisi ambao ndiyo wanadhamana ya kulinda usalama wao?
Hata kama mtu amelewa, polisi bado inajukumu la kuangalia usalama wake na siyo kuitia watu wawauwe ili wafiche uhalifu wao.
Pia hili la wakuu wao kutoa matamshi a utetezi kwamba "walipata taarifa kutoka kwa raia wema" ili kuhalalisha uhalifu wa polisi halitavumilika.
Tunaamini polisi ni watu waliopata mafunzo ya kuhoji, kuchunguza na kubaini kuwepo kwa uhalifu ama lah. Inakuwaje hawa watu wapoteze pesa na madini yao chini ya mikono ya polisi ambao ndiyo wanadhamana ya kulinda usalama wao?
Hata kama mtu amelewa, polisi bado inajukumu la kuangalia usalama wake na siyo kuitia watu wawauwe ili wafiche uhalifu wao.