Kama umejichanganya, samahani lakini, maelezo yako hayajaonesha pahala ambapo jeshi la polisi limewaomba bavicha kwenda Dodoma kuwa saidia kupambana na wahalifu.
Kama umejichanganya, samahani lakini, maelezo yako hayajaonesha pahala ambapo jeshi la polisi limewaomba bavicha kwenda Dodoma kuwa saidia kupambana na wahalifu.
Acha kukurupuka. Unajua maana ya RAIA. UVCCM, ni jeshi? Mahaba mengine yanawatoa ufahamu vibaya mno.Kama umejichanganya, samahani lakini, maelezo yako hayajaonesha pahala ambapo jeshi la polisi limewaomba bavicha kwenda Dodoma kuwa saidia kupambana na wahalifu.
Hahaha hahaha hahaha dah umenichekesha sana mkuu hawa polisi magamba ni kitukoHawa polisi watakua siyo binadamu wa kawaida.
Ishu ya Gwajima....waliomba msaada kwa waandishi wa habari!
inatakiwa qualification ya kujiunga polisi iwe degree moja na kuendelea hawa std vii hawajua kushoto kwao kutoka kuliaUmehoji kwa mantiki nzuri...
Na pale waliposema hawahitaji msaada kwamba wamejitosheleza vipi, au ndio kula matapishi...Kupambana na uhalifu siyo lazima wewe ndiye ukakamate wahalifu.
Unapotoa taarifa police kuhusu uvunjifu wa sheria au amani katika sehemu uliyopo, kimantiki utakuwa umepambana na uhalifu au wahalifu.
Siyo kila mwananchi amefuzu mafunzo ya kupambana na wahalifu ana kwa ana. Kutoa taarifa police ni njia isiyo na gharama kubwa kwa mwananchi wa kawaida katika kupambana na wahalifu.
Hii ndiyo mantiki ya police.
Kwani bavicha raia wa nchi gani tuanzie hapo kwanzaKama umejichanganya, samahani lakini, maelezo yako hayajaonesha pahala ambapo jeshi la polisi limewaomba bavicha kwenda Dodoma kuwa saidia kupambana na wahalifu.
Kama umejichanganya, samahani lakini, maelezo yako hayajaonesha pahala ambapo jeshi la polisi limewaomba bavicha kwenda Dodoma kuwa saidia kupambana na wahalifu.
inatakiwa qualification ya kujiunga polisi iwe degree moja na kuendelea hawa std vii hawajua kushoto kwao kutoka kulia
BRN. Hata kuelewa statement fupi kama ile ni tabu, unaweza kufaulu mtihani wowote wewe? Haafu leo eti ndio unafungua domo kusema unajua suala la maendelo na ustawi wa taifa!. Pumbavu kweli kweli!