Samcezar
JF-Expert Member
- May 18, 2014
- 13,096
- 22,627
- Thread starter
- #61
Imagine ha ha ha haNchi hii siasa stress tu
Ajira hamna
Waacheni watu wakajipoze huko
Nako hamtaki
Sent using Jamii Forums mobile app
Imagine ha ha ha haNchi hii siasa stress tu
Ajira hamna
Waacheni watu wakajipoze huko
Nako hamtaki
Hii wameweka wazi kabisa jina... Hawajaita pool partyHizi party zimerudi tena...
Kipindi cha nyuma zilishamiri sana kwa jina la Pool Party...
Cc: mahondaw
Hapa jamaa hizo hela za kiingilio hawataziacha hata iwejetutasikia tu watuhumiwa wamezungushwa na mwisho wa siku waambiwe walipe faini ila story ya viingilio itakwenda kweny SGR
Me nadhani serikali kupitia jeshi la polisi walitakiwa kupepeleleza kama katika miongoni mwa waliohudhuria hiyo party hakuna watoto age chini ya 18. Kama wapo then waandaaji waketuhumiwa na kesi.Shida ya nchi masikini ni vipaumbele, sasa kweli mtu unakwenda kuwasakama watu wanaotaka kufanya party ya kuburudisha miili yao na tena wahusika ni watu walio miaka 18+.
Inaboa sana....Tanzania kipindi hiki kila kitu Ni vi "wonder"
Najiuliza sijui wanazuia nini hapo. Kama ni maradhi mbona maralia ambayo inauwa mamilioni ya watu wanaikaushia na kuiacha imee ili wapige mpunga kutoka mataifa ya kigeni kupitia misaada.Ukiwa na uelewa mdogo uliofungwa ndani ya boksi. Kwa kigezo cha utamaduni wa mtanzania. Ndo unaweza kuona waandaaji wa party hiyo wana makosa na ni watenda dhambi. Lakini ukiwa Mfikiriaji huru husiye na mipaka utajua ya kwamba hiyo ni sehemu moja wapo ya uhuru wa binafsi . Je ni mambo mangapi yapo yanatendeka katika nchi hii na ni kinyume kabisa na mila na tamaduni zetu.. wala hapana kiongozi anayesimama kuyazuia wala kuyakemea. Wizi wa mali za umma,mauaji ya watu wasio na hatia,Unyanyasaji wa watoto ki ngono, ndoa za utotoni mjini na vijijini,Rushwa katika ajira na ofisini. Haya yote yaki husisha viongozi wakubwa na raia wa kawaida. Mbona hayazuiwi wala kukemewa kwa uhalisia bali ki siasa tu. Ndo waje kukomalia hili la utashi wa mtu binafsi. Yaani mtu kaamua mwenyewe kwenda kulipa ili afanye uzinzi ndo iwe kesi. Acheni unafiki Viongozi wetu.
Sustained...
Polisi wetu huwa nawawazia sielewi wanatumia akili gani. Yaani imagine hawadeal wahalifu serious wa kisiasa wanadeal na vijana wanaojifunza burudani.
Sent using Jamii Forums mobile app
financial servicesNa watu wangeenda kabisa😒😒
Nikukosa kazi. Haya ndio madhara ya kuchagua polisi kwa kigezo cha elimu ya failure ya form 4Ndio ajabu hapo inakuja unashindwa kuelewa
Ni mtihani sana.... Masharti yanazidi kupita kiwango.Mwaka huu hakuna kupata raha sana!
Kuna fala ameamua kushare ile video na public na anajua kabisa maudhui yake si ya kuwekwa hadharani.Sioni tofauti na lile jambo la ladies free kama wangesema kuna "X-mass House Party" then waweke kiingilio na iwe ladies free.
Technically wasingekuwa matatani ni wangetafuta kibali tu mapemaaa
Hawa wamejiexpose ndio shida.Jeshi la polisi halipo telegram? Halipo Instagram?Mbona zipo nyingi??