Polisi wasiruhusu waandishi wa habari kwenye matukio ya Ujambazi

YEHODAYA

JF-Expert Member
Aug 9, 2015
36,908
51,904
Si kila mwandishi wa habari ni mwandishi wa habari wengine ni majambazi.Hivyo polisi wanapokuwa kwenye operation zao za kupambana na majambazi popote wasiruhusu mwandishi wala kikamera kiwe cha simu au chochote kuwapiga picha.

Kama wanataka waandishi wa tukio basi wawachukue waandishi wao wa jeshi la polisi ambao baadaye watatoa taarifa na picha nk kwa waandishi wa habari.

Kuweko kwa waandishi ni hatari kwa oparation mfano polisi wamezingira eneo waandishi wa habari ambao si waaminifu waweza kuwasiliana na majambazi eneo lililozingirwa kuwa simu au meseji au wasap kuwa torokeeeni upande fulani au wako upande huu wana silaha gani nk

Naomba jeshi la polisi lisiruhusu waandishi wa habari kuwa karibu nao wakiwa kwenye kazi zitto za kupambana na majambazi.IKiwezekana maeneo kama hayo yawe yanakatwa mawasiliano ya namna zote kipindi chote cha operation kwenye eneo husika ili simu zisiweze kutoka wala kuingia.
 
Si kila mwandishi wa habari ni mwandishi wa habari wengine ni majambazi.Hivyo polisi wanapokuwa kwenye operation zao za kupambana na majambazi popote wasiruhusu mwandishi wala kikamera kiwe cha simu au chochote kuwapiga picha.

Kama wanataka waandishi wa tukio basi wawachukue waandishi wao wa jeshi la polisi ambao baadaye watatoa taarifa na picha nk kwa waandishi wa habari.

Kuweko kwa waandishi ni hatari kwa oparation mfano polisi wamezingira eneo waandishi wa habari ambao si waaminifu waweza kuwasiliana na majambazi eneo lililozingirwa kuwa simu au meseji au wasap kuwa torokeeeni upande fulani au wako upande huu wana silaha gani nk

Naomba jeshi la polisi lisiruhusu waandishi wa habari kuwa karibu nao wakiwa kwenye kazi zitto za kupambana na majambazi.IKiwezekana maeneo kama hayo yawe yanakatwa mawasiliano ya namna zote kipindi chote cha operation kwenye eneo husika ili simu zisiweze kutoka wala kuingia.


!
!
Sasa bila vyombo vya habari single zao zitavumaje? Wazee wa masinema tena bila runinga teh teh teh teh.
 
bora jata ww mleta uzi una uwezo wa kufikiri. Hiyo movie yenu ya kitoto kila mtu ameishia kutudharau kama nchi tena inayojiandaa kuingia kwenye viwanda. Halafu hamjifunzi tu? Ile ya amboni ilikiwa hivi hivi. Wananchi wako miaka 50 mbele nyie mko 50 nyuma, mmebaki kujivunia dola pekee.
 
Si kila mwandishi wa habari ni mwandishi wa habari wengine ni majambazi.Hivyo polisi wanapokuwa kwenye operation zao za kupambana na majambazi popote wasiruhusu mwandishi wala kikamera kiwe cha simu au chochote kuwapiga picha.

Kama wanataka waandishi wa tukio basi wawachukue waandishi wao wa jeshi la polisi ambao baadaye watatoa taarifa na picha nk kwa waandishi wa habari.

Kuweko kwa waandishi ni hatari kwa oparation mfano polisi wamezingira eneo waandishi wa habari ambao si waaminifu waweza kuwasiliana na majambazi eneo lililozingirwa kuwa simu au meseji au wasap kuwa torokeeeni upande fulani au wako upande huu wana silaha gani nk

Naomba jeshi la polisi lisiruhusu waandishi wa habari kuwa karibu nao wakiwa kwenye kazi zitto za kupambana na majambazi.IKiwezekana maeneo kama hayo yawe yanakatwa mawasiliano ya namna zote kipindi chote cha operation kwenye eneo husika ili simu zisiweze kutoka wala kuingia.
Yaani polisi ni wachovu kiasi hicho...hawawezi kujua wajipange vipi? Na kama ni kuzingira, unaachaje mlango wa kutokea?
Kuhusu silaha, hawahitaji kuambiwa maana jeshi la polisi limeshafanya maonyesho ya silaha tayari.
Mwisho wa siku, polisi watatuambia kile wanachotaka kutuambia..half-truths with spices that make them feel good. Ni kazi yao, wanaweza kuamua watakavyo.
 
Ili mpike habari kuwa mmekamata makomandoo sio
Maana jana ITV, EFM, Clouds wamewaumbua kuwa hamjakamata mtu
Wala kukuta silaha yoyote ile
Mwisho kwa aibu mmeondoka na watoto na wanawake
Acha kusema uongo Bwana! Nani kasema hawajakamata mtu? Mbona kwenye taarifa ya habari ya ITV nilisikia wamekamata watu saba? Wanawake na watoto nao ni watu ujue! Acha ubaguzi wa kijinsia na kiumri!
 
Ili mpike habari kuwa mmekamata makomandoo sio
Maana jana ITV, EFM, Clouds wamewaumbua kuwa hamjakamata mtu
Wala kukuta silaha yoyote ile
Mwisho kwa aibu mmeondoka na watoto na wanawake

Ndio maana nasema waandishi wa habari wasiwemo eneo la tukio.Badala ya kupata taarifa kwa polisi kuwa wamekamata watu wangapi wanaenda kumhoji sijui mwenyekiti wa kijiji au mpita njia aliyekuwa eneo la tukio!!!! Huyo aweza kuwa na taarifa kamili na rasmi? Askari wamepigana usiku kucha aliona na hivyo vya usiku?

Polisi pia wapige marufuku mtu yeyote kuelezea au kutoa taarifa za kipolisi atakayefanya hivyo akamatwe na ashughulikiwe.Taarifa za kweli za ndani za kipi ni kipi walionazo ni polisi sio mwenyekiti wa kijiji au mpita njia aliyekuwa eneo la tukio
 
Ccm na polisi ni waongo ila hawajui wanawadanganya watu wanaojua kuwa wanadanganywa
 
Ndio maana nasema waandishi wa habari wasiwemo eneo la tukio.Badala ya kupata taarifa kwa polisi kuwa wamekamata watu wangapi wanaenda kumhoji sijui mwenyekiti wa kijiji au mpita njia aliyekuwa eneo la tukio!!!! Huyo aweza kuwa na taarifa kamili na rasmi? Askari wamepigana usiku kucha aliona na hivyo vya usiku?

Polisi pia wapige marufuku mtu yeyote kuelezea au kutoa taarifa za kipolisi atakayefanya hivyo akamatwe na ashughulikiwe.Taarifa za kweli za ndani za kipi ni kipi walionazo ni polisi sio mwenyekiti wa kijiji au mpita njia aliyekuwa eneo la tukio
Wabongo wengi hawana shukrani watakuja juta pale polisi watakapozidiwa na maharamia vurugu zikitawala
 
Si kila mwandishi wa habari ni mwandishi wa habari wengine ni majambazi.Hivyo polisi wanapokuwa kwenye operation zao za kupambana na majambazi popote wasiruhusu mwandishi wala kikamera kiwe cha simu au chochote kuwapiga picha.

Kama wanataka waandishi wa tukio basi wawachukue waandishi wao wa jeshi la polisi ambao baadaye watatoa taarifa na picha nk kwa waandishi wa habari.

Kuweko kwa waandishi ni hatari kwa oparation mfano polisi wamezingira eneo waandishi wa habari ambao si waaminifu waweza kuwasiliana na majambazi eneo lililozingirwa kuwa simu au meseji au wasap kuwa torokeeeni upande fulani au wako upande huu wana silaha gani nk

Naomba jeshi la polisi lisiruhusu waandishi wa habari kuwa karibu nao wakiwa kwenye kazi zitto za kupambana na majambazi.IKiwezekana maeneo kama hayo yawe yanakatwa mawasiliano ya namna zote kipindi chote cha operation kwenye eneo husika ili simu zisiweze kutoka wala kuingia.





Hata waandishi wa habari wa Gazeti la Uhuru walioripoti kuwa policcm imeua majambazi 14 katika mapambano pale vikindu(idadi ileile ya majambazi walioripotiwa kuvamia CRDB Mbande)nao hawaruhusiwi kuwepo katika oparesheni za kipoliccm?
 

JPM na wafuasi wake wa chama wanaendelea kuona ni sawa kuminya Uhuru wa vyombo vya Habari....

Hii serikali ya awamu hii inatuingiza choo cha kike.
 
Si kila mwandishi wa habari ni mwandishi wa habari wengine ni majambazi.Hivyo polisi wanapokuwa kwenye operation zao za kupambana na majambazi popote wasiruhusu mwandishi wala kikamera kiwe cha simu au chochote kuwapiga picha.

Kama wanataka waandishi wa tukio basi wawachukue waandishi wao wa jeshi la polisi ambao baadaye watatoa taarifa na picha nk kwa waandishi wa habari.

Kuweko kwa waandishi ni hatari kwa oparation mfano polisi wamezingira eneo waandishi wa habari ambao si waaminifu waweza kuwasiliana na majambazi eneo lililozingirwa kuwa simu au meseji au wasap kuwa torokeeeni upande fulani au wako upande huu wana silaha gani nk

Naomba jeshi la polisi lisiruhusu waandishi wa habari kuwa karibu nao wakiwa kwenye kazi zitto za kupambana na majambazi.IKiwezekana maeneo kama hayo yawe yanakatwa mawasiliano ya namna zote kipindi chote cha operation kwenye eneo husika ili simu zisiweze kutoka wala kuingia.
YEHODAYA huko unakoelekea sasa ni kubaya! Hivi unajua dhima ya mwandishi wa habari kweli? pamoja na kwamba una siasa za kinazi lakini kuna wakati bakisha akili kidogo za kujitambua wewe ni nani uko wapi na unafanya nini
 
yaa Waandishi wa Habari waruhusiwe kuwapiga picha wakifanya mazoezi bara barani na kutuma mirandaoni hiyo ipo sawa kabisa.,,
 
Back
Top Bottom