H HByabatto jr Senior Member Dec 23, 2011 142 13 Feb 24, 2012 #41 Zidumu sera za CDM, zidumu fikra za CDM! Kama mwanzo, na sasa hadi MILELE. AMINA!
Mufiyakicheko JF-Expert Member Mar 24, 2011 892 86 Feb 25, 2012 #42 EasyFit said: Hongera makanda wa Tunduma kumbe nguvu ya uma haishindwi kitu Click to expand...
TUNTEMEKE JF-Expert Member Jun 15, 2009 4,587 579 Feb 25, 2012 #43 wanafikiri wanaweza kawachocha wananchi lkn no sasa watanzania wanauelewa kuhusu siasa safi na siasa uchwara
wanafikiri wanaweza kawachocha wananchi lkn no sasa watanzania wanauelewa kuhusu siasa safi na siasa uchwara
idawa JF-Expert Member Jan 20, 2012 25,284 38,312 Feb 25, 2012 #44 Gemmy said: wanafikiri wanaweza kawachocha wananchi lkn no sasa watanzania wanauelewa kuhusu siasa safi na siasa uchwara Click to expand... nakuunga mkono
Gemmy said: wanafikiri wanaweza kawachocha wananchi lkn no sasa watanzania wanauelewa kuhusu siasa safi na siasa uchwara Click to expand... nakuunga mkono
MARCKO JF-Expert Member Jun 10, 2011 2,258 274 Feb 25, 2012 #46 Silinde fanya fasta uende Arumeru unekane tu inatosha. Wee pita road straight 2 mbuguni then Tengeru. Alafu tuliazako.
Silinde fanya fasta uende Arumeru unekane tu inatosha. Wee pita road straight 2 mbuguni then Tengeru. Alafu tuliazako.
Mbugi JF-Expert Member Jan 7, 2011 1,488 257 Feb 25, 2012 #47 kwa mwendo huu mwisho wa safari viongozi watajua raha na karaha ya demo - krasia
Duble Chris JF-Expert Member May 28, 2011 3,481 564 Feb 25, 2012 #48 Naambaliwa hali likuwa tete pia MBALIZI hadi polisi walirusha mabomu ya machozi sababu ni zilezile za bendera
Naambaliwa hali likuwa tete pia MBALIZI hadi polisi walirusha mabomu ya machozi sababu ni zilezile za bendera
FKM Member Dec 9, 2011 51 21 Feb 25, 2012 #49 Bravoooo..........................!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!