THE GREAT CAMP
JF-Expert Member
- Jun 29, 2012
- 765
- 194
Ngoja Shehe Ponda atakuja kukanusha na kusema wanaonewa.Jamani mimi sio mdini lakini mbona najiuliza katika tuhuma nyingi za madawa ya kulevya, Meno ya tembo nk. majina ya kiislamu yanaonekana zaidi? Je ni mbinu ya kuonyesha kua uislamu ni adui wa maendeleo na ustawi wa taifa au watuhumiwa wnaficha majina yao halisi?
Naulizatu jamani.