Polisi wanaswa na meno ya tembo

Polisi wanaswa na meno ya tembo

Jamani mimi sio mdini lakini mbona najiuliza katika tuhuma nyingi za madawa ya kulevya, Meno ya tembo nk. majina ya kiislamu yanaonekana zaidi? Je ni mbinu ya kuonyesha kua uislamu ni adui wa maendeleo na ustawi wa taifa au watuhumiwa wnaficha majina yao halisi?
Naulizatu jamani.
Ngoja Shehe Ponda atakuja kukanusha na kusema wanaonewa.
 
Jamani mimi sio mdini lakini mbona najiuliza katika tuhuma nyingi za madawa ya kulevya, Meno ya tembo nk. majina ya kiislamu yanaonekana zaidi? Je ni mbinu ya kuonyesha kua uislamu ni adui wa maendeleo na ustawi wa taifa au watuhumiwa wnaficha majina yao halisi?
Naulizatu jamani.



Hakuna dini inayoruhusu uhalifu hivyo muhalifu kwanza kaikosea dini na muumba wake"deviant" sasa hapo ndo ujue dini kwa huyu sio issue
 
Tumeshawazoea hadi tumechoka na hatua hazichukuliwi juu yao. Ni kero tupu jeshi hili la polisi
 
mkiambiwa kuwa serikali na mamlaka zake ni LEGE LEGE NA DHAIFU (IMPOTENT) mnalia lia tu, hakika natamani ningeishi kipindi cha utawala wa Chief Mangungo wa Msovelo.

Utasikia askali wametoweka mikononi mwa polisi kama wale wa magunia ya bangi. Kweli serikali yetu ni IMPOTENT.
 
Back
Top Bottom