Polisi wanapohusishwa na ujambazi dhidi ya Wabunge serikali haipaswi kukaa kimya

Mtanzania yeyote anapo hatarishwa maisha yake kama hivi waziwazi, haijalishi ni wa chama, dini, jinsia, umri, au kabila gani.

Kiongozi wa jeshi la polisi anapaswa kutoka mara moja na kauli madhubuti kuonyesha mkakati uliopo wa kuwapata wahusika na kuwafikisha mbele ya sheria.

Katika tukio hili, kiongozi wa juu wa serikali na bunge ni kutoa faraja bila kuchelewa kwa wahanga,ambao ni viongozi na familia zao na si kusubiri pole ya mwakilishi wa chama tawala!

Mambo kama haya hayatetewi popote!
 
CnHyfnqT4zAAAAABJRU5ErkJggg==
 
Polisi ni genge lingine hatari sana hapa Tanzania...wao na majambazi,ukimwi,mafisadi..wako kundi moja its a dying Institution...mimi pia wamewahi kunipiga na kunisakizia kesi hawa sio kabisa...tena hawana aibu...inatakiwa hii taasisi ivunjwe waajiriwe wengine ama la uongozi uwekwe usiokua na msalie mtume...
 
Hashakumu kwa lugha nitakayo tumia ila waswahili hunena "Kunya anye kuku akinya bata kaharaisha"

Ingekuwa ni wabunge wa ccm ndo waliokutwa na dhahama hiyo nadhani kungekuwa na makaripia na matamko katika kila nyanja ya kulaani ila kwa kuwa imetokea ccm basi ndo shauri yao.
 
Polisi hawako huru kufanya shughuli zao kitaaluma, wanapata mashinikizo makubwa kutoka ccm na usalama wa taifa. Polisi ni victims kama raia wengi wa nchi tulivyo mbele ya ccm na usalama wake wa taifa. Polisi na raia tushirikiane kwenye haya mapambano ya kudai haki na hadhi zetu kama watu huru ndani ya nchi yetu
 
Back
Top Bottom