fangfangjt
JF-Expert Member
- Apr 25, 2008
- 571
- 139
MJI wa Maswa jana uligeuka uwanja wa mapambano baina ya wananchi na polisi, huku risasi, mabomu ya machozi na mawe vikitumika kama silaha baina ya pande hizo.
Polisi walitumia risasi na mabomu ya machozi kuwadhibiti wananchi waliokuwa wameamua kujichukulia sheria mkononi kumwadhibu mkazi mmoja wa mjini hapa Masanja Juma (28), aliyetuhumiwa kwa wizi wa kuvunja maduka
SOURCE : NIPASHE
Polisi walitumia risasi na mabomu ya machozi kuwadhibiti wananchi waliokuwa wameamua kujichukulia sheria mkononi kumwadhibu mkazi mmoja wa mjini hapa Masanja Juma (28), aliyetuhumiwa kwa wizi wa kuvunja maduka
SOURCE : NIPASHE