tikatika
JF-Expert Member
- May 6, 2011
- 2,330
- 4,121
Nimeuliza zaid ya mara moja . Lakn sijapata msaada wa kisheria. Nauliza tena . Police wana mamlaka ya kumpima mtu kwa mkemia mkuu bila kupitia kokote?? Chombo cha juu kabisa kutoa agizo ni na ulazima wa kutekelezwa ni mahakama. Police wanapata wapi mamlaka kwenda kumpima mtu kwa mkemia mkuu wa serikali ndipo baadaye wampeleke mahakamani.
Kama hivyo ndivyo kwanini isiwe lazma kumpima mtu mwenye ukimwi. Mwenye matatizo ya akili wapo wengi sana na wanaleta madhara. Lakn amri ya kuwapima akili zao hutolewa na mahakama tu.
Hii ya madawa ya kulevya kwamba kila anayekamatwa anaenda kupinwa kwa amri toka kwa nani hapo police? Na je nikikataa napewa adhabu gani??
Nimepitia katika sheria ya madawa ya kulevya sijaona sehem ya watu kwenda kupimwa kwa mkemia kwa amri ya police. Kama sijasoma vizuri niko tayar kukosolewa au niseme kuelekezwa. Binafs naona police wanawadhalilisha wanaenda kuwapima bila kufuata taratibu husika. Sheria mpya ya madawa ya kulevya hii hapa chini
http://www.lrct.go.tz/download/translated-laws/kiswahili-vision/SHERIA YA MADAWA YA KULEVYA.pdf
Kama hivyo ndivyo kwanini isiwe lazma kumpima mtu mwenye ukimwi. Mwenye matatizo ya akili wapo wengi sana na wanaleta madhara. Lakn amri ya kuwapima akili zao hutolewa na mahakama tu.
Hii ya madawa ya kulevya kwamba kila anayekamatwa anaenda kupinwa kwa amri toka kwa nani hapo police? Na je nikikataa napewa adhabu gani??
Nimepitia katika sheria ya madawa ya kulevya sijaona sehem ya watu kwenda kupimwa kwa mkemia kwa amri ya police. Kama sijasoma vizuri niko tayar kukosolewa au niseme kuelekezwa. Binafs naona police wanawadhalilisha wanaenda kuwapima bila kufuata taratibu husika. Sheria mpya ya madawa ya kulevya hii hapa chini
http://www.lrct.go.tz/download/translated-laws/kiswahili-vision/SHERIA YA MADAWA YA KULEVYA.pdf