Hivi umsilizagi mh raisi kwa kauli zake kuunga mkono polisi wetu?Polisi wanamharibia Mh. Rais utawala wake. Kwa mafunzo wanayoyapata wanaweza kuwakabiri waandamanaji pasi kutumia nguvu nyingi kupita kiasi hadi kusababisha mauti. Wakumbuke tu kuwa karma ipo kama hawamuamini Mungu
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app