Hivi hii dhana ya polisi jamii mnaionaje wana JF, inawezekana vipi wakati polisi na wananchi ni maadui? umefika wakati ni heri kukutana na mwizi kuliko kukutana na polisi. hii ndiyo miaka hamsini ya uhuru?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.