mwandiga
JF-Expert Member
- Dec 5, 2011
- 1,506
- 664
Hii sijui imekaaje, ni sheria zetu mbovu au kuna jingine zaidi. Wale polisi waliokuwa wamefungwa kwa kosa la kuua mwanakijiji wa Jimbo la kasulu vijijini wameachiliwa huru huku wakiwa wamekaa gerezani miaka 2 tu. Hii ni sawa? Wenye uelewa wa sheria naomba mawazo yenu, kwani wote 7 wameachiliwa huru.
Cc mbunge kasulu vijijini Ujue hilo maana wewe ndie uliyekuwa mtetezi mkubwa wa hili ukitaka haki itendeke.
Cc mbunge kasulu vijijini Ujue hilo maana wewe ndie uliyekuwa mtetezi mkubwa wa hili ukitaka haki itendeke.