Polisi wakamata konyagi feki Vingunguti

Polisi wakamata konyagi feki Vingunguti

Mandla Jr.

JF-Expert Member
Joined
Dec 15, 2013
Posts
3,098
Reaction score
631
IMG_3271.JPG

IMG_3128.JPG

IMG_3197.JPG

Mmiliki wa Konyagi feki...


IMG_3254.JPG
 
Polisi Jijini Dar es salaam jana kwenye moja ya Godawn maeneo ya vingunguti karibu na kituo cha mchicha watumiwa walikamatwa na kupelekwa polisi.

IMG_3265.JPG

 
Lazima atakua ni mchaga huyu bwana.Yafaa atafutiwe brand name nyingine aendelee uzalishajii TFDA na TBS wampe ushiRikiano
 
Siku hizi Konyagi haina wateja tena......Mambo yote ni K-Vant!!!! Hamna za kuchakachua
 
Siku hizi Konyagi haina wateja tena......Mambo yote ni K-Vant!!!! Hamna za kuchakachua

Kvant n kiroba watu wameshatumia fursa mda sana mwaka jana walikamata mzigo feki singida n dodoma ujazo w fuso
 
Walinyimwa fungu ka kumi la income thats y Polisi wakaamua kulipua,polisi nao wezi tu.
 
Polisi wa bongo kwa kufanya kazi laini tu hawajambo!
 
Kvant n kiroba watu wameshatumia fursa mda sana mwaka jana walikamata mzigo feki singida n dodoma ujazo w fuso

zenye rangi ya maji kwa asilimia kubwa zinachakachuliwa ukitaka effect za kihalisia lamba valuer
 
Ufeki wake uko kwenye nini? Haileweshi au?
 
mungu wangu hope azijafika calabash uwiiiii
 
Lazima atakua ni mchaga huyu bwana.Yafaa atafutiwe brand name nyingine aendelee uzalishajii TFDA na TBS wampe ushiRikiano

aisee wampe kweli brand nyingine iitwe konyagiiiieeee watu tuendelee kupata anavyoonekana ni mbunifu na mtu wa siku nyingi sana na watu wamekunywa na akuna alieathirika na watu wanaendelea kufurahia naamini watu wa vingunguti mmelia sana na hili jambo kwakukamatwa maana anaonekana ni mchaga alieaga kwao akuja kulima lami

MOD:Napendekeza hoja tumpe ushirikiano

nb:naomba anipm
 
Back
Top Bottom