M m_tz Member Apr 11, 2012 89 1 Jun 28, 2012 #61 Polisi huyo angekuwa mbaya angeenda na redio call? Kova anapaswa kuwakamata watu wote waliompiga polisi huyo. Hawana haki ya kufanya hivyo, hawawezi kumpangia jinsi ya kufanya kazi yake.
Polisi huyo angekuwa mbaya angeenda na redio call? Kova anapaswa kuwakamata watu wote waliompiga polisi huyo. Hawana haki ya kufanya hivyo, hawawezi kumpangia jinsi ya kufanya kazi yake.