Polisi waahidi kulifanyia uchunguzi tukio la utekaji wa Dr. Stephen Ulimboka

Tumesahau ya Mwakyembe? Ulimboka hawezi sema hiyo siri maana kupona kwake ndo ananyamazishwa na cheo cha kumfunga mdomo!
 
kwa hii ya mwalimu namshaur kama ameshindwa kutoa hoja asipoteze muda kutujazia maandish atafute std awapige tuit
 
Huyo mwalimu kanisikitisha saana, yaani anataka drs wamsaidie kudai haki yake? Yy si ameridhika? Waalimu waalimu!
 
Mimi ni mwalimu mwenye degree ya sayansi. Niliajiliwa miaka mitano iliyopita lakini mshahara wangu hadi sasa ni tshs 720,000/=. sasa najiuliza huyu daktari kanizidi nini kielimu hadi apate mshahara wa tshs 990,000 kianzio na sasa anataka 3.5m jeuri hii anaitoa wapi? Nashangaa sana kwa nini watu wanashabikia wakati mishahara ya tanzania daktari ndiye anayeongoza kwa kulipwa mshahara mkubwa serikalini. Mimi naona mgomo huu si bure una hila nyuma yake. Keki hii ya taifa ni yetu sote kwa nini nyinyi mjione sawa na wakurugenzi waliosota miaka dahari kulipwa mshahara mnaodai?shame on you. sisi walala hoi mnatuumiza, nyinyi mnatibiwa hospitali za private, think of those who are paid below 170,000 pm waende wapi? Hizi ni siasa chafu ambazo hazifai kushabikiwa. Watu nakufa kwa hila hizi yuo must stop. I am fade up, hapa mhimbili hatupati huduma tuende wapi?

Wewe ndiyo unashangaza kweli. Yaani unauliza kuwa ni nini daktari anachofanya hata kufikia daktari anayeanza kulipwa TZS900,000 ilihali wewe mwalimu wa miaka mingi unalipwa TZS 720,000. Mbona hujiulizi ni nini vile vibinti vikuu vya wilaya ambavyo havina hata degree vilivyoteuliwa na Rais juzi tu vinapata zaidi ya milioni 4? Mbona hujiulizi wale mabinti waliopitishwa kama wabunge wa kuteuliwa, sasa wanalipwa milioni 10? Amewaona tu madaktari? Mbona hujiulizi akina Ngeleja walikuzidi nini kiasi kwamba wao wapate sh 1 milioni kwa kukata tu utepe ufunguzi wa kisima, darasa au ufunguzi wa washa (kazi ya dk 5-15) wakati wewe mwezi mzima hufiki hata milioni?
 
Mwalimu usijilinganishe na Dr! umesoma miaka 3 yeye kasoma miaka zaidi ya mitano! pia unaujua ukweli kuwa robo tatu ya walimu ni wale waliofeli mitihani! Acha madaktari wa dai haki yao make elimu yao wameipata kwa jasho jingi pia wameshikilia/ wanaokoa maisha ya watanzani! fuatilia madai yao utagundua ni yamsingi
 
Wanabodi.

Waziri John Nchimbi, akiongea na TBC amesema leo asubuhi kijana mmoja anaitwa Juma Mgaza, aliwasili kwenye kituo kidogo cha Buju na kutoa ripoti kuwa Dr Ulimboka ameokotwa barabarani.

Inasemakana jana akiwa kwenye pub yeye na rafiki yake walivamiwa na vijana watano. wakampandisha kwenye gari Escudo kuelekea barabara ya mwenge huku wanampiga baadae wakamtupa barabarani...

Waziri anasema serikali imestushwa na tukio ilo na wamelani tukio hilo na kuhaidi kuwa watahakikisha wanawakamata watuhumiwa wote wanaomba wananchi watoe ushirikiano.

SOURCE; TBC
 
[h=6]Polisi waahidi kulifanyia uchunguzi tukio la utekaji wa Dr. Stephen Ulimboka.
Taarifa zilizonifikia ni kwamba ACP Ahmed Msangi wa kanda maalum ya Dar es Salaam ataongoza kikosi cha wapelelezi kufanya Uchunguzi wa tukio hilo.
GET WELL SOON Dr. ULImboka.
[/h]

Polisi hawa hawa wa tanzania? is it possible?
 
Mimi ni mwalimu mwenye degree ya sayansi. Niliajiliwa miaka mitano iliyopita lakini mshahara wangu hadi sasa ni tshs 720,000/=. sasa najiuliza huyu daktari kanizidi nini kielimu hadi apate mshahara wa tshs 990,000 kianzio na sasa anataka 3.5m jeuri hii anaitoa wapi? Nashangaa sana kwa nini watu wanashabikia wakati mishahara ya tanzania daktari ndiye anayeongoza kwa kulipwa mshahara mkubwa serikalini. Mimi naona mgomo huu si bure una hila nyuma yake. Keki hii ya taifa ni yetu sote kwa nini nyinyi mjione sawa na wakurugenzi waliosota miaka dahari kulipwa mshahara mnaodai?shame on you. sisi walala hoi mnatuumiza, nyinyi mnatibiwa hospitali za private, think of those who are paid below 170,000 pm waende wapi? Hizi ni siasa chafu ambazo hazifai kushabikiwa. Watu nakufa kwa hila hizi yuo must stop. I am fade up, hapa mhimbili hatupati huduma tuende wapi?

ukimwi una madhara hadi kwenye ubongo
 
Watanzania msilalamike! Mliyataka wenyewe!! Acheni serikali ifanye kazi yake! Hiyo serikali mnayoilalamikia mliiweka madarakani wenyewe. Mkatanguliza ushabiki wa Yanga na Simba katika siasa bila kujali uhalisia wa mambo. Sasa tulieni mnyooshwe vizuri hadi hapo mtakapopata akili 2015.
 
Polisi watupe kwanza matokeo ya uchunguzi wa matukio haya:

1: swala la Dr. Harrison Mwakyembe kupewa sumu

2: Abdiel Mengi kutaka kubambikiwa dawa za kulevya uwanja wa ndege
3: Dk.Slaa kuwekewa vinasa sauti kwenye uvungu wa kitanda mjini Dodoma
 
Wanabodi.

Waziri John Nchimbi, akiongea na TBC amesema leo asubuhi kijana mmoja anaitwa Juma Mgaza, aliwasili kwenye kituo kidogo cha Buju na kutoa ripoti kuwa Dr Ulimboka ameokotwa barabarani.

Inasemakana jana akiwa kwenye pub yeye na rafiki yake walivamiwa na vijana watano. wakampandisha kwenye gari Escudo kuelekea barabara ya mwenge huku wanampiga baadae wakamtupa barabarani...

Waziri anasema serikali imestushwa na tukio ilo na wamelani tukio hilo na kuhaidi kuwa watahakikisha wanawakamata watuhumiwa wote wanaomba wananchi watoe ushirikiano.

SOURCE; TBC

na we una moyo na li TBCcm lako. Oovyo
 
Nyie madaktari mna matatizo mnadhani ndo wenye akili kuliko walimu, that is wrong mimi nina first class mlimani wewe unayesema mimi ni voda faster ni kilaza wa pass ya chuo kikuu na sasa unabwabwaja humu. kama unataka ubunge siukagombee upate hiyo 10m usiyokuwa hata na uhakika nayo kama unachosema ni kweli? mapambano ya sisi walimu ni ya kweli na siyo madaktari.
 
Back
Top Bottom