Samahani,ashakumu si matusi. Vyombo vya Dola,hususani polisi,hulaumiwa kila siku kwa lawama zile zile. Je unajua ni kwa nini? Ngoja uelewe. Methodology inayotumika kuwa-train mbwa,nguruwe,panya,ndege,farasi,sama5ji ni ile ile inayotumika kuwa-train polisi,usalama wa taifa,wanajeshi. Hivyo unapotoa amri,"KAMATA!" jinsi mbwa ama nguruwe anavyoelewa na polisi,usalama wa taifa wanaelewa vivyo hivyo.