KIPUMPUSWA
Senior Member
- Jul 16, 2011
- 106
- 35
Pamoja na bajeti ya kambi rasmi ya upinzani bungeni ya wizara ya mambo ya ndani ya nchi kulitaja jeshi la polisi kuwa ndio taasisi inayoongoza kwa kuomba na kupokea rushwa na changamoto mbalimbali zilizojitokeza wakati wa mjadala wa bajeti ya wizara hiyo, jana majira ya saa kumi na mbili jioni maeneo ya hospitali ya mkoa kitete nilisimamishwa na askari wa usalama barabarani .Chombo changu cha usafiri hakikukaguliwa wala sikuombwa leseni ila nikaombwa mchango wa kukaa viti virefu jioni. kwa hali hii vita dhidi ya rushwa safari bado ni ndefu.