Polisi Tanzania jitafakarini sana

Polisi Tanzania jitafakarini sana

Prof_Adventure_guide

JF-Expert Member
Joined
Dec 21, 2023
Posts
519
Reaction score
1,463
Polisi wa Tanzania, mnachekesha! Elimu ndogo, akili ndogo, roho za ukoloni! Badala ya kulinda raia kwa mujibu wa Ibara ya 13 (6)(d) na Sheria ya Polisi Sura 322, mnapiga wanaodai haki zao.

Nyie ni tools of oppression. Mnaua, mnapora, mnatisha, halafu mnarudi kulala kwenye nyumba za tope na watoto wenu hawana hata school fees!

Mnajifanya askari, kumbe ma-bouncer wa watawala! Shame on y’all. Hamlindi raia zaidi ya hao watawala.
 
Na Askofu Kalikawe Bagonza:

UJINGA WANGU SASA UMEKOMAA

Niliamini UHAINI ni kosa kubwa. Neno lenyewe tu, linaogopesha kulisoma, kuliandika na kulitamka. Ni kitendo cha kutaka au kupindua serikali yoyote (halali au haramu).

Sasa kuna mtu mmoja katuhumiwa kutaka kutufanyia hayo. Huyu atakuwa ni mtu mbaya sana. Kwa nini atuhumiwe yeye kwa kosa hili baya? Nikawaza;

1. Kesi yake ingesikilizwa wazi (uwanja wa Taifa maana Kisutu hapatoshi).

2. Pale uwanjani wangeweka vipaza sauti na televisheni zote zirushe mubashara ili watu wote waone.

3. Makarandinga ya polisi yangesomba wote wasio na nauli kwenda kusikiliza kesi.

4. Asasi za kiraia na kianaharakati wangetoa maji ya kunywa bure kwa waliofika kusikiliza.

5. Posho za watumishi wa mahakama zingeongezwa ili kuwatia moyo wakati wa usikilizaji.

6. Siku ya hukumu ingekuwa siku ya mapumziko ili nchi itulie na kusikiliza hukumu hiyo.

Kwa nini nafikiri hivi?

a) Ingetoa fundisho la wazi kwa watu wote wanaopenda kuchezea amani ya nchi yetu.

b) Elimu ya uraia na utii wa sheria bila shuruti ingetolewa kwa vitendo kupitia kesi hii.

c) Hatua hii ingehamasisha watu wengi zaidi kwenda kupiga kura siku ya uchaguzi mkuu bila kuhofia Polisi kuvuruga uchaguzi huo.

d) Wale wenye “mdomomdomo” kama mimi, wanaopenda kutumia neno HAKI kuliko amani, wangekuwa wamefungwa goli la kisigino na timu AMANI isiyopenda kutamka neno haki.

e) Hatua hii, ingeua kabisa kampeini za za NO REFORMS, NO ELECTION kwa sababu utawala wa sheria ungeonekana wazi.

f) Chama kingepata fursa nzuri ya kuonyesha ushahidi jinsi mabeberu wanapandikiza wahaini katika siasa zetu.

SASA, nimegundua ujinga wangu umekomaa. Kumbe kesi hii ni muhimu na nyeti. Haiwezi kuwa wazi. Ni kwa ajili ya wanasheria na wateule wachache wenye vifurushi kwenye simu.

Nilidhani nchi hii ni yetu wote kumbe ya wana sheria tu na polisi. Hata serikali iliyotaka “kupinduliwa” ni yetu au ya wana sheria na polisi?

Kama ni yetu wananchi, kwa nini hairuhusiwi watu kwenda mahakamani kusikiliza?

Aisee ujinga wangu una gharama. Akili zimeisha kichwani. Nimebakiza za kunipeleka msalani.

Wajinga wengine kama mimi wameenda wakaishia kuvunjwa viuno, mikono, na migongo.

Hili giza la kuona haki ikitendeka haliwezi kutuacha salama.

Nawaombea uponyaji walioumizwa.
Nawaombea waliowaumiza ili wao wasiumizwe maishani maana inauma.

Vitendo hivi vimelaaniwa vya kutosha. Nafasi za kulaani zimejas. Nitalaani kesho.
 
Polisi wa Tanzania, mnachekesha! Elimu ndogo, akili ndogo, roho za ukoloni! Badala ya kulinda raia kwa mujibu wa Ibara ya 13(6)(d) na Sheria ya Polisi Sura 322, mnapiga wanaodai haki zao.

Nyie ni fuckin' tools of oppression! Mnaua, mnapora, mnatisha—halafu mnarudi kulala kwenye nyumba za tope na watoto wenu hawana hata school fees!

Mnajifanya askari, kumbe ma-bouncer wa watawala! Shame on y’all. You ain’t protectin’ nobody but your masters. Ushenzi mtu
pu! 😠😠

Biblia Takatifu,

Kutoka 21 : 14, 23 - 25.
"Lakini mtu akimshambulia mwenzake makusudi na kumuua kwa jeuri, hata Kama atakimbilia kwenye madhabahu, mtamtoa huko madhabahuni pangu na KUMUUA.
Lakini Kama yatakuwepo madhara mengine, basi lazima amlipe uhai kwa uhai, jino kwa jino, jicho kwa jicho, mkono kwa mkono, mguu kwa mguu, kuchomwa moto kwa kuchomwa moto, jeraha kwa jeraha, na pigo kwa pigo."
 
Nilishasema na ninarudia tena siku mtoto au ndugu yangu akajiunga na polisi undugu kati ya yeye na mimi ndiyo basi tena milele na milele, siwezi kuwa na undugu au urafiki na mtu anayefanya kazi ya laana kama ile. Ameni
Na bado unajiita bibi netanyahu mkuu🤣.

Hapa fulltime 1-1
 
Na Askofu Kalikawe Bagonza:

UJINGA WANGU SASA UMEKOMAA

Niliamini UHAINI ni kosa kubwa. Neno lenyewe tu, linaogopesha kulisoma, kuliandika na kulitamka. Ni kitendo cha kutaka au kupindua serikali yoyote (halali au haramu).

Sasa kuna mtu mmoja katuhumiwa kutaka kutufanyia hayo. Huyu atakuwa ni mtu mbaya sana. Kwa nini atuhumiwe yeye kwa kosa hili baya? Nikawaza;

1. Kesi yake ingesikilizwa wazi (uwanja wa Taifa maana Kisutu hapatoshi).

2. Pale uwanjani wangeweka vipaza sauti na televisheni zote zirushe mubashara ili watu wote waone.

3. Makarandinga ya polisi yangesomba wote wasio na nauli kwenda kusikiliza kesi.

4. Asasi za kiraia na kianaharakati wangetoa maji ya kunywa bure kwa waliofika kusikiliza.

5. Posho za watumishi wa mahakama zingeongezwa ili kuwatia moyo wakati wa usikilizaji.

6. Siku ya hukumu ingekuwa siku ya mapumziko ili nchi itulie na kusikiliza hukumu hiyo.

Kwa nini nafikiri hivi?

a) Ingetoa fundisho la wazi kwa watu wote wanaopenda kuchezea amani ya nchi yetu.

b) Elimu ya uraia na utii wa sheria bila shuruti ingetolewa kwa vitendo kupitia kesi hii.

c) Hatua hii ingehamasisha watu wengi zaidi kwenda kupiga kura siku ya uchaguzi mkuu bila kuhofia Polisi kuvuruga uchaguzi huo.

d) Wale wenye “mdomomdomo” kama mimi, wanaopenda kutumia neno HAKI kuliko amani, wangekuwa wamefungwa goli la kisigino na timu AMANI isiyopenda kutamka neno haki.

e) Hatua hii, ingeua kabisa kampeini za za NO REFORMS, NO ELECTION kwa sababu utawala wa sheria ungeonekana wazi.

f) Chama kingepata fursa nzuri ya kuonyesha ushahidi jinsi mabeberu wanapandikiza wahaini katika siasa zetu.

SASA, nimegundua ujinga wangu umekomaa. Kumbe kesi hii ni muhimu na nyeti. Haiwezi kuwa wazi. Ni kwa ajili ya wanasheria na wateule wachache wenye vifurushi kwenye simu.

Nilidhani nchi hii ni yetu wote kumbe ya wana sheria tu na polisi. Hata serikali iliyotaka “kupinduliwa” ni yetu au ya wana sheria na polisi?

Kama ni yetu wananchi, kwa nini hairuhusiwi watu kwenda mahakamani kusikiliza?

Aisee ujinga wangu una gharama. Akili zimeisha kichwani. Nimebakiza za kunipeleka msalani.

Wajinga wengine kama mimi wameenda wakaishia kuvunjwa viuno, mikono, na migongo.

Hili giza la kuona haki ikitendeka haliwezi kutuacha salama.

Nawaombea uponyaji walioumizwa.
Nawaombea waliowaumiza ili wao wasiumizwe maishani maana inauma.

Vitendo hivi vimelaaniwa vya kutosha. Nafasi za kulaani zimejas. Nitalaani kesho.
Bagonza anaandika bila kuchoka
 
Polisi wa Tanzania, mnachekesha! Elimu ndogo, akili ndogo, roho za ukoloni! Badala ya kulinda raia kwa mujibu wa Ibara ya 13(6)(d) na Sheria ya Polisi Sura 322, mnapiga wanaodai haki zao.

Nyie ni fuckin' tools of oppression! Mnaua, mnapora, mnatisha—halafu mnarudi kulala kwenye nyumba za tope na watoto wenu hawana hata school fees!

Mnajifanya askari, kumbe ma-bouncer wa watawala! Shame on y’all. You ain’t protectin’ nobody but your masters. Ushenzi mtu
pu! 😠😠
Haya ni majambazi yanayovaa uniform tu, nafikiri somo kuu wanalojifunza huko CCP ni ukatili na unyama, jana wameonyesha tabia ya kishenzi kuliko hayawani wa mwituni.
 
Polisi wa Tanzania, mnachekesha! Elimu ndogo, akili ndogo, roho za ukoloni! Badala ya kulinda raia kwa mujibu wa Ibara ya 13(6)(d) na Sheria ya Polisi Sura 322, mnapiga wanaodai haki zao.

Nyie ni fuckin' tools of oppression! Mnaua, mnapora, mnatisha—halafu mnarudi kulala kwenye nyumba za tope na watoto wenu hawana hata school fees!

Mnajifanya askari, kumbe ma-bouncer wa watawala! Shame on y’all. You ain’t protectin’ nobody but your masters. Ushenzi mtu
pu! 😠😠
Napangisha nyumba Kwa watumishi kama ifuatavyo:
1: Mwalimu 20,000/- chumba kimoja Kwa mwezi chenye umeme na Maji
2: Daftari 20,000/- Kwa mwezi chumba chenye umeme na Maji
3:Mwanajeshi 20,000/-Chumba chumba chenye umeme na Maji Kwa mwezi
4:AFISA Kilimo na Mifugo,20,000/-kwa mwezi chumba chenye umeme na Maji
5: Police sipangishi au alipe 340,000/-Chumba kimojakwa mwezi chenye umeme na Maji Kwa Miezi 12 ilipwe maramoja
6: Dereva 20,000/- Kwa mwezi
 
Polisi wa Tanzania, mnachekesha! Elimu ndogo, akili ndogo, roho za ukoloni! Badala ya kulinda raia kwa mujibu wa Ibara ya 13(6)(d) na Sheria ya Polisi Sura 322, mnapiga wanaodai haki zao.

Nyie ni fuckin' tools of oppression! Mnaua, mnapora, mnatisha—halafu mnarudi kulala kwenye nyumba za tope na watoto wenu hawana hata school fees!

Mnajifanya askari, kumbe ma-bouncer wa watawala! Shame on y’all. You ain’t protectin’ nobody but your masters. Ushenzi mtu
pu! 😠😠
Gentleman,
mnapokubali kuchochewa kufanya mambo haramu kinyume na sheria na hao matapeli wa kisiasa, mue mnakuja na katiba ili mfundishwe kwa virungu namna ambavyo hiyo katiba inawataka mtii sheria bila shuruti,

Otherwise,
kuchezea sharubu za polisi kwa kukiuka sheria kilofa itakupelekea hatua kali zaidi zitakazokusababishia maumivu makali sana, ulemavu na hata kupoteza maisha kizembe kabisa na kuwapelekea familia yako zawadi ya msiba mzito wa huzuni na umaskini wa kutupwa huko mbeleni 🐒
 
Polisi wa Tanzania, mnachekesha! Elimu ndogo, akili ndogo, roho za ukoloni! Badala ya kulinda raia kwa mujibu wa Ibara ya 13(6)(d) na Sheria ya Polisi Sura 322, mnapiga wanaodai haki zao.

Nyie ni fuckin' tools of oppression! Mnaua, mnapora, mnatisha—halafu mnarudi kulala kwenye nyumba za tope na watoto wenu hawana hata school fees!

Mnajifanya askari, kumbe ma-bouncer wa watawala! Shame on y’all. You ain’t protectin’ nobody but your masters. Ushenzi mtu
pu! 😠😠
Utapigwa tu ukikaidi.
 
Na Askofu Kalikawe Bagonza:

UJINGA WANGU SASA UMEKOMAA

Niliamini UHAINI ni kosa kubwa. Neno lenyewe tu, linaogopesha kulisoma, kuliandika na kulitamka. Ni kitendo cha kutaka au kupindua serikali yoyote (halali au haramu).

Sasa kuna mtu mmoja katuhumiwa kutaka kutufanyia hayo. Huyu atakuwa ni mtu mbaya sana. Kwa nini atuhumiwe yeye kwa kosa hili baya? Nikawaza;

1. Kesi yake ingesikilizwa wazi (uwanja wa Taifa maana Kisutu hapatoshi).

2. Pale uwanjani wangeweka vipaza sauti na televisheni zote zirushe mubashara ili watu wote waone.

3. Makarandinga ya polisi yangesomba wote wasio na nauli kwenda kusikiliza kesi.

4. Asasi za kiraia na kianaharakati wangetoa maji ya kunywa bure kwa waliofika kusikiliza.

5. Posho za watumishi wa mahakama zingeongezwa ili kuwatia moyo wakati wa usikilizaji.

6. Siku ya hukumu ingekuwa siku ya mapumziko ili nchi itulie na kusikiliza hukumu hiyo.

Kwa nini nafikiri hivi?

a) Ingetoa fundisho la wazi kwa watu wote wanaopenda kuchezea amani ya nchi yetu.

b) Elimu ya uraia na utii wa sheria bila shuruti ingetolewa kwa vitendo kupitia kesi hii.

c) Hatua hii ingehamasisha watu wengi zaidi kwenda kupiga kura siku ya uchaguzi mkuu bila kuhofia Polisi kuvuruga uchaguzi huo.

d) Wale wenye “mdomomdomo” kama mimi, wanaopenda kutumia neno HAKI kuliko amani, wangekuwa wamefungwa goli la kisigino na timu AMANI isiyopenda kutamka neno haki.

e) Hatua hii, ingeua kabisa kampeini za za NO REFORMS, NO ELECTION kwa sababu utawala wa sheria ungeonekana wazi.

f) Chama kingepata fursa nzuri ya kuonyesha ushahidi jinsi mabeberu wanapandikiza wahaini katika siasa zetu.

SASA, nimegundua ujinga wangu umekomaa. Kumbe kesi hii ni muhimu na nyeti. Haiwezi kuwa wazi. Ni kwa ajili ya wanasheria na wateule wachache wenye vifurushi kwenye simu.

Nilidhani nchi hii ni yetu wote kumbe ya wana sheria tu na polisi. Hata serikali iliyotaka “kupinduliwa” ni yetu au ya wana sheria na polisi?

Kama ni yetu wananchi, kwa nini hairuhusiwi watu kwenda mahakamani kusikiliza?

Aisee ujinga wangu una gharama. Akili zimeisha kichwani. Nimebakiza za kunipeleka msalani.

Wajinga wengine kama mimi wameenda wakaishia kuvunjwa viuno, mikono, na migongo.

Hili giza la kuona haki ikitendeka haliwezi kutuacha salama.

Nawaombea uponyaji walioumizwa.
Nawaombea waliowaumiza ili wao wasiumizwe maishani maana inauma.

Vitendo hivi vimelaaniwa vya kutosha. Nafasi za kulaani zimejas. Nitalaani kesho.
Huyu Askofu wa CHADEMA ni wa kupuuzwa.
 
Na Askofu Kalikawe Bagonza:

UJINGA WANGU SASA UMEKOMAA

Niliamini UHAINI ni kosa kubwa. Neno lenyewe tu, linaogopesha kulisoma, kuliandika na kulitamka. Ni kitendo cha kutaka au kupindua serikali yoyote (halali au haramu).

Sasa kuna mtu mmoja katuhumiwa kutaka kutufanyia hayo. Huyu atakuwa ni mtu mbaya sana. Kwa nini atuhumiwe yeye kwa kosa hili baya? Nikawaza;

1. Kesi yake ingesikilizwa wazi (uwanja wa Taifa maana Kisutu hapatoshi).

2. Pale uwanjani wangeweka vipaza sauti na televisheni zote zirushe mubashara ili watu wote waone.

3. Makarandinga ya polisi yangesomba wote wasio na nauli kwenda kusikiliza kesi.

4. Asasi za kiraia na kianaharakati wangetoa maji ya kunywa bure kwa waliofika kusikiliza.

5. Posho za watumishi wa mahakama zingeongezwa ili kuwatia moyo wakati wa usikilizaji.

6. Siku ya hukumu ingekuwa siku ya mapumziko ili nchi itulie na kusikiliza hukumu hiyo.

Kwa nini nafikiri hivi?

a) Ingetoa fundisho la wazi kwa watu wote wanaopenda kuchezea amani ya nchi yetu.

b) Elimu ya uraia na utii wa sheria bila shuruti ingetolewa kwa vitendo kupitia kesi hii.

c) Hatua hii ingehamasisha watu wengi zaidi kwenda kupiga kura siku ya uchaguzi mkuu bila kuhofia Polisi kuvuruga uchaguzi huo.

d) Wale wenye “mdomomdomo” kama mimi, wanaopenda kutumia neno HAKI kuliko amani, wangekuwa wamefungwa goli la kisigino na timu AMANI isiyopenda kutamka neno haki.

e) Hatua hii, ingeua kabisa kampeini za za NO REFORMS, NO ELECTION kwa sababu utawala wa sheria ungeonekana wazi.

f) Chama kingepata fursa nzuri ya kuonyesha ushahidi jinsi mabeberu wanapandikiza wahaini katika siasa zetu.

SASA, nimegundua ujinga wangu umekomaa. Kumbe kesi hii ni muhimu na nyeti. Haiwezi kuwa wazi. Ni kwa ajili ya wanasheria na wateule wachache wenye vifurushi kwenye simu.

Nilidhani nchi hii ni yetu wote kumbe ya wana sheria tu na polisi. Hata serikali iliyotaka “kupinduliwa” ni yetu au ya wana sheria na polisi?

Kama ni yetu wananchi, kwa nini hairuhusiwi watu kwenda mahakamani kusikiliza?

Aisee ujinga wangu una gharama. Akili zimeisha kichwani. Nimebakiza za kunipeleka msalani.

Wajinga wengine kama mimi wameenda wakaishia kuvunjwa viuno, mikono, na migongo.

Hili giza la kuona haki ikitendeka haliwezi kutuacha salama.

Nawaombea uponyaji walioumizwa.
Nawaombea waliowaumiza ili wao wasiumizwe maishani maana inauma.

Vitendo hivi vimelaaniwa vya kutosha. Nafasi za kulaani zimejas. Nitalaani kesho.
Yaani mimi nikubali kupanda difenda nikasikilize kesi seriously mkuu😂😂😂😂😂

Sema hayo mengine yote umeongea correct sana mkuu an naanza kupenda siasa sasa kwa fact kama hzi mkuu
 
Siku moja kabla sijapata mchongo wa kwenda kutafuta nafasi ya kujiunga na jeshi la polisi, nikamfahamisha mzazi wangu, alinifokea sana na kuniambia "sitaki kukusikia tena hizo habari ya kazi ya laana na dhuluma".

Nililaumu sana ila leo ninamshukuru kwa kuniepusha na laana hizo.

Mungu awalaani polisi wote mnaotekeleza kuua na kutesa ndugu, jamaa na rafiki zetu kwa maagizo ya viongozi wenu wapumbavu.
 
Polisi wa Tanzania, mnachekesha! Elimu ndogo, akili ndogo, roho za ukoloni! Badala ya kulinda raia kwa mujibu wa Ibara ya 13(6)(d) na Sheria ya Polisi Sura 322, mnapiga wanaodai haki zao.

Nyie ni fuckin' tools of oppression! Mnaua, mnapora, mnatisha—halafu mnarudi kulala kwenye nyumba za tope na watoto wenu hawana hata school fees!

Mnajifanya askari, kumbe ma-bouncer wa watawala! Shame on y’all. You ain’t protectin’ nobody but your masters. Ushenzi mtu
pu! 😠😠
Bosi sisi polisi tunamaisha mazuri sana na tuna elimu Bora na watoto wetu wanasoma internalinal schools Sasa mambo yote mazuri haya unataka tusiwashughulikie wanaowapinga CCM? Maana sisi na CCM ni ndugu wa damu kabisa.Tii bila shuruti
 
Back
Top Bottom