Polisi Tanga Wavunja Shughuli Ya Harusi!

MaxShimba

JF-Expert Member
Apr 11, 2008
35,772
4,054
Polisi Tanga Wavunja Shughuli Ya Harusi!

29 June 2009 90

Tukio lisililo la kawaida limeripotiwa leo kupitia TBC 1 kwamba polisi mkoani Tanga wameingilia kati na kuvunja shughuli ya harusi kwenye moja ya vijiji vya mkoa huo. Kwa mujibu wa taarifa hiyo, polisi wameingilia kati kwa vile ndoa hiyo ilihusu msichana wa miaka 17 na aliyekatishwa masomo yake kuolewa na bwana wa umri wa miaka 50.

Polisi waliingia mahali hapo wakati Bi. Harusi, ndugu na wengine walioudhuria walipokuwa wakimsubiri Bwana harusi afike na baadae Shehe wa kufungisha ndoa. Naam. Harusi ikawa imevunjika na vijana wa eneo hilo wanaripotiwa kusikitikia zaidi kuikosa pilau iliyokuwa ikiandaliwa kwa ajili ya shughuli hiyo!

Imetoka KwanzaJamii
 
polisi tanga wavunja shughuli ya harusi!

29 june 2009 90

tukio lisililo la kawaida limeripotiwa leo kupitia tbc 1 kwamba polisi mkoani tanga wameingilia kati na kuvunja shughuli ya harusi kwenye moja ya vijiji vya mkoa huo. Kwa mujibu wa taarifa hiyo, polisi wameingilia kati kwa vile ndoa hiyo ilihusu msichana wa miaka 17 na aliyekatishwa masomo yake kuolewa na bwana wa umri wa miaka 50.

polisi waliingia mahali hapo wakati bi. Harusi, ndugu na wengine walioudhuria walipokuwa wakimsubiri bwana harusi afike na baadae shehe wa kufungisha ndoa. Naam. Harusi ikawa imevunjika na vijana wa eneo hilo wanaripotiwa kusikitikia zaidi kuikosa pilau iliyokuwa ikiandaliwa kwa ajili ya shughuli hiyo!

imetoka kwanzajamii



kwa hiyo ulienda kuwatetea ili aolewe au...?
 
Au ulitaka aliwe kisirisiri kama wanavyofanya mapdre wakatoliki kwa watoto wakiume KUANZIA miaka 8.

'Endemic' rape and abuse of Irish children in Catholic care, inquiry finds | World news | guardian.co.uk
'Endemic' rape and abuse of Irish children in Catholic care, inquiry finds

Beatings and humiliation by nuns and priests were common at institutions that held up to 30,000 children, Ryan report states


Henry McDonald on the long-awaited report on abuse in Ireland's schools Link to this video Rape and sexual molestation were "endemic" in Irish Catholic church-run industrial schools and orphanages, a report revealed today.
The nine-year investigation found that Catholic priests and nuns for decades terrorised thousands of boys and girls in the Irish Republic, while government inspectors failed to stop the chronic beatings, rape and humiliation.
The high court judge Sean Ryan today unveiled the 2,600-page final report of Ireland's commission into child abuse, which drew on testimony from thousands of former inmates and officials from more than 250 church-run institutions. Police were called to the news conference amid angry scenes as victims were prevented from attending.
More than 30,000 children deemed to be petty thieves, truants or from dysfunctional families – a category that often included unmarried mothers – were sent to Ireland's austere network of industrial schools, reformatories, orphanages and hostels from the 1930s until the last facilities shut in the 1990s.
The findings prompted the new Archbishop of Westminster, the Most Rev Vincent Nichols, to say that it took "courage" for those clergy involved in child sex abuse to confront their actions. In an interview to be broadcast tonight on ITV News at Ten, he said: "I think of those in religious orders and some of the clergy in Dublin who have to face these facts from their past which instinctively and quite naturally they'd rather not look at. That takes courage, and also we shouldn't forget that this account today will also overshadow all of the good that they also did."
The Irish Survivors of Child Abuse (Isoca), an organisation set up to help victims, condemned the newly appointed head of the Catholic Church in England and Wales for his remarks.
"Rubbish is too kind of word for what the archbishop has said. I believe I have heard this kind of twaddle uttered by politicians in Ireland like Bertie Ahern, the former prime minister. It is the verbiage of un-reason and it leaves me cold. What the Archbishop really has to do is take a long hard look at the character and nature of the people he is talking about and ask himself if they are capable of being good," said Patrick Walsh.
The report found that molestation and rape were "endemic" in boys' facilities, chiefly run by the Christian Brothers order, and supervisors pursued policies that increased the danger. Girls supervised by orders of nuns, chiefly the Sisters of Mercy, suffered much less sexual abuse but instead endured frequent assaults and humiliation designed to make them feel worthless.
"In some schools a high level of ritualised beating was routine ... Girls were struck with implements designed to maximise pain and were struck on all parts of the body," the report said. "Personal and family denigration was widespread."
The report concluded that when confronted with evidence of sex abuse, religious authorities responded by transferring offenders to another location, where in many instances they were free to abuse again.
"There was evidence that such men took up teaching positions sometimes within days of receiving dispensations because of serious allegations or admissions of sexual abuse," the report said. "The safety of children in general was not a consideration."
The Catholic church had been steeling itself for the report, which was repeatedly delayed by church lawsuits, missing documentation and alleged government obstruction.
The Christian Brothers delayed the investigation for more than a year with a lawsuit that successfully defended their members' right to anonymity in all references in the report, even in cases in which individual Christian Brothers had been convicted of sexual and physical attacks on children.
The church had already been under fire over the sexual misbehaviour of several priests in various Irish parishes. The commission's experts have sought to produce a comprehensive portrait of sexual, physical and emotional damage inflicted on the child victims. The thousands of survivors said they had no safe way to tell their stories until the investigation began because much of Irish Catholic society regarded them as liars.
Isoca today said it was now up to the Vatican to investigate its religious orders in the republic.
John Kelly, the Isoca co-ordinator in Dublin, said: "Now that the Ryan [Laffoy] commission is finished, we call upon ... Pope Benedict XVI to convene a special consistory court to fully investigate the activities of the Catholic religious orders in Ireland.
"Amongst other things, such a court could establish the whereabouts of Irish state assets that were misappropriated over many years by the religious orders and make restitution to the Irish state exchequer."
During the commission's investigations, oral evidence was collected from more than 1,000 people, mainly aged from their 50s to 70s.
Several hundred travelled back to Ireland from the US and Australia to describe their childhood of terror and intimidation.
One victim, John Walsh, of Isoca, called the report a hatchet job that left open wounds gaping. "The little comfort we have is the knowledge that it vindicated the victims who were raped and sexually abused," he said.
"I'm very angry, very bitter, and feel cheated and deceived. I would have never opened my wounds if I'd known this was going to be the end result. It has devastated me and will devastate most victims because there is no criminal proceedings and no accountability whatsoever."
The commission's original judge, Mary Laffoy, resigned from her post in 2003 over claims that the Irish department of education – which was in charge of inspecting the orphanages and industrial schools – was refusing to hand over documents to her.
 
Tatizo ni sheria zetu, waliotunga sheria waliamua kuwa:

(1) No person shall marry who, being male, has not attained the apparent age of eighteen years or, being female, has not attained the apparent age of fifteen years.
(2) Notwithstanding the provisions of subsection (1), the court shall, in its discretion, have power, on application, to give leave for a marriage where the parties are, or either of them is, below the ages prescribed in subsection (1) if–
(a) each party has attained the age of fourteen years; and
(b) the court is satisfied that there are special circumstances which make the proposed marriage desirable.
 
Tatizo ni sheria zetu, waliotunga sheria waliamua kuwa:

(1) No person shall marry who, being male, has not attained the apparent age of eighteen years or, being female, has not attained the apparent age of fifteen years.
(2) Notwithstanding the provisions of subsection (1), the court shall, in its discretion, have power, on application, to give leave for a marriage where the parties are, or either of them is, below the ages prescribed in subsection (1) if–
(a) each party has attained the age of fourteen years; and
(b) the court is satisfied that there are special circumstances which make the proposed marriage desirable.
Hii kifungu ndio inayoonyesha kuwa polisi walifanya kosa,inawezekana kumkatisha masomo ni kosa jingine ,lakini je hao wanaomaliza masomo hufarijika na masomo hayo ? Kiasi ya kulifanya chaguo la kuolewa kuwa kosa ? Au kuna uchoyo wa kuona mila zingine zina uhuru wa kuwaolesha watoto wao bila ya kuzingatia umri ? Au ndio ng'ombe wa masikini hazai ?
Au mkubwa haifai kuoa mdogo ? Na jinsia hii kwa upande mmoja tu ? Mambo haya ya kusema muacheni mtu asome hayana msingi wowote maana hata akimaliza kusoma na kutafuta kazi atatakiwa afanye tendo la ngono nje ya ndoa ili apate kazi au sivyo yalivyo siku hizi ? Kuna kosa gani kama angeachiwa aendelee na masomo baada ya kuolewa ? Naona ingekuwa bora zaidi na salama zaidi na hata kuepuka mimba aidha kwa kutumia njia za uzazi wa majira au matibabu ya kukwepesha mimba kwa kipindi fulani na hili lingeipunguzia mzigo serikali wa kutunga masheria yasio kubalika katika jamii.
 
Hii kifungu ndio inayoonyesha kuwa polisi walifanya kosa,inawezekana kumkatisha masomo ni kosa jingine ,lakini je hao wanaomaliza masomo hufarijika na masomo hayo ? Kiasi ya kulifanya chaguo la kuolewa kuwa kosa ? Au kuna uchoyo wa kuona mila zingine zina uhuru wa kuwaolesha watoto wao bila ya kuzingatia umri ? Au ndio ng'ombe wa masikini hazai ?
Au mkubwa haifai kuoa mdogo ? Na jinsia hii kwa upande mmoja tu ? Mambo haya ya kusema muacheni mtu asome hayana msingi wowote maana hata akimaliza kusoma na kutafuta kazi atatakiwa afanye tendo la ngono nje ya ndoa ili apate kazi au sivyo yalivyo siku hizi ? Kuna kosa gani kama angeachiwa aendelee na masomo baada ya kuolewa ? Naona ingekuwa bora zaidi na salama zaidi na hata kuepuka mimba aidha kwa kutumia njia za uzazi wa majira au matibabu ya kukwepesha mimba kwa kipindi fulani na hili lingeipunguzia mzigo serikali wa kutunga masheria yasio kubalika katika jamii.

Duh! Mkuu Mwiba naona unakumbukia kale kabinti kako ka miaka 15, sijui kama walikukubalia kukaoa?
 
Duh! Mkuu Mwiba naona unakumbukia kale kabinti kako ka miaka 15, sijui kama walikukubalia kukaoa?
Kale nameshakitia mkononi ,sasa nakitafutia safari ya kukileta huku Holland ,si uliniona nilipotea hapa ka miezi miwili ? Nilienda kumaliza kazi,ila nimetoa rushwa kwa mwalimu ka milioni moja,wakubwa wa serikali ya mtaa na wengine nao niliwakatia chao si unafahamu mambo ya kula na wakubwa lazima kidogo uwahudumie wale wanaokwambia wanasikia njaa ,wengine wanakwambia uwapatie japo feza ya mboga ,inatakiwa ufahamu ili mambo yako yafanikiwe ,idumu CCM :D
 
Kale nameshakitia mkononi ,sasa nakitafutia safari ya kukileta huku Holland ,si uliniona nilipotea hapa ka miezi miwili ? Nilienda kumaliza kazi,ila nimetoa rushwa kwa mwalimu ka milioni moja,wakubwa wa serikali ya mtaa na wengine nao niliwakatia chao si unafahamu mambo ya kula na wakubwa lazima kidogo uwahudumie wale wanaokwambia wanasikia njaa ,wengine wanakwambia uwapatie japo feza ya mboga ,inatakiwa ufahamu ili mambo yako yafanikiwe ,idumu CCM :D


Aisee nimekuvulia kofia, yaani kumbe muda wote tunakutafuta hapa kumbe umeenda kumaliza kazi, hongera sana, sasa umekaonjesha utamu kule umemwachia mama mkwe achunge au vipi si unajua tena damu mbichi?

halafu unailaumu CCM tu, CUF mkichukua unadhani hiyo hongo hutatoa kama utataka kengine? usisahau kumpeleka shule manake huko nasikia kama huna shule kazi hakuna....hahahaha:D
 
Au ulitaka aliwe kisirisiri kama wanavyofanya mapdre wakatoliki kwa watoto wakiume KUANZIA miaka 8.

http://www.guardian.co.uk/world/2009/may/20/irish-catholic-schools-child-abuse-claims.

Osama, why do you have to bring religion issues while the report didnt focus on that? why so defensive?

Hivi kila mtu akianza kupaste experience au reports alizosoma kuhusu ufirauni wa viongozi wa dini tutakaa humu??? kuna baadhi ya sifa zinahusishwa directly na dini fulani... lakini tujiangalie kama mola alivyotuasa na kutenda yaliyo mema... Nitalaani yote yanayohusu viongozi wa dini (yoyote ile) lakini nadhani thread hii haifocus huko.... hapa kuna vitu vya kuangalia kama vile malezi, mazoea, haki, sheria za nchi, hata ule ustaarabu (wa ki-fataki) wa kula vijukuu

Nakuomba tusiingie huko kwenye jukwaa la dini kiundani... kugumu huko!!!
 
Jamani mambo ya mapadri yanahusikaje na hii habari? Its better kama huna cha kuchangia kutokana na habari husika kukaa kimya soma tu walivyochangia wengine lakini kuleta issue ambazo hazipo katika habari husika hiyo nayo ni ufinyu wa kufikiri,Au mwenzetu una bifu na MaxShimba?
 
Hebu tulinganishe sheria zote in totality,

Ona Education Act inavyosema

35. Compulsory enrolment and attendance of pupils at schools

(1) It shall be compulsory for every child who has reached the age of seven years to be enrolled for primary education.
(2) The parent or parents of every child compulsorily enrolled for primary education shall ensure that the child regularly attends the primary school at which he is enrolled until he completes primary education.
(3) Every pupil enrolled at any school shall regularly attend the school at which he is enrolled until he completes the period of instruction specified in respect of the level of education for the attainment of which he is enrolled at the school.
(4) The Minister shall make rules, which shall be published in the Gazette, for the better carrying out of the purposes of this section and may, in those rules, prescribe acts or things which shall be done by any person and penalties for the contravention of those rules.

waziri kwa mamlaka hayo akatunga rules zifuatazo :

Failure to take reasonable steps
(1) Any parent to whom these Rules apply, who fails to enrol his child commits an offence and is liable on conviction, in the case of a first offence to a fine note less than thirty thousands shillings and exceeding fifty thousand shillings or for a second offence, to a fine of not less than fifty thousand shillings but not exceeding one hundred thousand shillings or to imprisonment for a term not exceeding six months or to both such fine and imprisonment.
(2) Any parent or any other persons who in any circumstance causes a child not to attend school regularly until the completion of primary education commits an offence and is liable on conviction to a fine of not less than thirty thousand shillings but not exceeding fifty thousand shillings or a term of imprisonment not exceeding six months or to both such fine and imprisonment.

The catchword ni causes a child not to attend school regularly until the completion of primary education,
Je ni lazima primary education iwe miaka saba moja kwa moja bila interruption?
Je kuna ubaya akiolewa na kendelea na elimu ya msingi kama vyuoni
Je sheria ndigo haijicontradict na Law of Marriage Act inayotoa express permission to get married?

Suala jamvini
 
Aisee nimekuvulia kofia, yaani kumbe muda wote tunakutafuta hapa kumbe umeenda kumaliza kazi, hongera sana, sasa umekaonjesha utamu kule umemwachia mama mkwe achunge au vipi si unajua tena damu mbichi?

halafu unailaumu CCM tu, CUF mkichukua unadhani hiyo hongo hutatoa kama utataka kengine? usisahau kumpeleka shule manake huko nasikia kama huna shule kazi hakuna....hahahaha:D
Ahsnte sana, unajua CCM ikianguka basi mambo mengi yatakuwa magumu kuliko tunavyofikiria ,yaani hapa tulipo ni pazuri sana ,unahitaji passport unaweza kuipata kwa dau dogo tu na pengine uletewe mpaka nyumbani,unahitaji kuiba umeme kwa matumizi ya nyumbani shilingi ka 25000 ni nyingi kufanyiwa ukarabati wa umeme na ukaweka makondisheni nyumba nzima.
 
Hebu tulinganishe sheria zote in totality,

Ona Education Act inavyosema

35. Compulsory enrolment and attendance of pupils at schools

(1) It shall be compulsory for every child who has reached the age of seven years to be enrolled for primary education.
(2) The parent or parents of every child compulsorily enrolled for primary education shall ensure that the child regularly attends the primary school at which he is enrolled until he completes primary education.
(3) Every pupil enrolled at any school shall regularly attend the school at which he is enrolled until he completes the period of instruction specified in respect of the level of education for the attainment of which he is enrolled at the school.
(4) The Minister shall make rules, which shall be published in the Gazette, for the better carrying out of the purposes of this section and may, in those rules, prescribe acts or things which shall be done by any person and penalties for the contravention of those rules.

waziri kwa mamlaka hayo akatunga rules zifuatazo :

Failure to take reasonable steps
(1) Any parent to whom these Rules apply, who fails to enrol his child commits an offence and is liable on conviction, in the case of a first offence to a fine note less than thirty thousands shillings and exceeding fifty thousand shillings or for a second offence, to a fine of not less than fifty thousand shillings but not exceeding one hundred thousand shillings or to imprisonment for a term not exceeding six months or to both such fine and imprisonment.
(2) Any parent or any other persons who in any circumstance causes a child not to attend school regularly until the completion of primary education commits an offence and is liable on conviction to a fine of not less than thirty thousand shillings but not exceeding fifty thousand shillings or a term of imprisonment not exceeding six months or to both such fine and imprisonment.

The catchword ni causes a child not to attend school regularly until the completion of primary education,
Je ni lazima primary education iwe miaka saba moja kwa moja bila interruption?
Je kuna ubaya akiolewa na kendelea na elimu ya msingi kama vyuoni
Je sheria ndigo haijicontradict na Law of Marriage Act inayotoa express permission to get married?

Suala jamvini
Wanaojua sheria watujuvye ,maana hapo juu panaonekana kuna uhuru wa kufunga ndoa akivuka primary ,halafu hali ya maisha ya Mtz wa hali ya chini inaweza kabisa kumkatisha masomo maana malipo yamekuwa mengi kuliko elimu inayotolewa ,kuna wanaomaliza shule hawajui hata kusoma.Na huko mashuleni nako kuna ada hazina kichwa wala miguu ,mtoto anaambiwa apeleke na asipopeleka anasimamishwa shule ,sasa mzazi nae anafikiria cha kukila unafikiri atapeleka ada ya shule,nasema kama elimu ya msingi mpaka ya seko ingekuwa bure na mwanafunzi hadaiwi malipo ya kipuuzi hapo kidogo mkono wa serikali ungekuwa na nguvu ,lakini haya masheria ya sasa ni kutafuta na kuzidisha idadi ya wafungwa tu hakuna jingine
 
Hii kifungu ndio inayoonyesha kuwa polisi walifanya kosa,inawezekana kumkatisha masomo ni kosa jingine ,lakini je hao wanaomaliza masomo hufarijika na masomo hayo ? Kiasi ya kulifanya chaguo la kuolewa kuwa kosa ? Au kuna uchoyo wa kuona mila zingine zina uhuru wa kuwaolesha watoto wao bila ya kuzingatia umri ? Au ndio ng'ombe wa masikini hazai ?
Au mkubwa haifai kuoa mdogo ? Na jinsia hii kwa upande mmoja tu ? Mambo haya ya kusema muacheni mtu asome hayana msingi wowote maana hata akimaliza kusoma na kutafuta kazi atatakiwa afanye tendo la ngono nje ya ndoa ili apate kazi au sivyo yalivyo siku hizi ? Kuna kosa gani kama angeachiwa aendelee na masomo baada ya kuolewa ? Naona ingekuwa bora zaidi na salama zaidi na hata kuepuka mimba aidha kwa kutumia njia za uzazi wa majira au matibabu ya kukwepesha mimba kwa kipindi fulani na hili lingeipunguzia mzigo serikali wa kutunga masheria yasio kubalika katika jamii.

Duh, mmh
 
Back
Top Bottom