sulphadoxine
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 2,257
- 645
Jeshi la polisi limeanza uchunguzi wa kubaini endapo kuna misikiti inayotumika kuhamasisha vurugu nchini.Msemaji wa jeshi hilo Advera Senso alitoa kauli hiyo Dar es Salaam jana wakati akizungumza na gazeti la jambo leo kuhusu kauli iliyotolewa juzi na imamu Bukhary Sheikh Khalif Khamis,kuwa kuna baadhi ya misikiti inatumiwa kujifunzia kareti na kuhamasisha vurugu nchini,hivyo kuishushia heshima dini ya kiislamu na kuonekana kama dini ya wahuni.
Source ya habari hii ni gazeti la jambo leo la leo tarehe 26/02/2013
Source ya habari hii ni gazeti la jambo leo la leo tarehe 26/02/2013