JAYJAY
JF-Expert Member
- Oct 31, 2008
- 7,514
- 7,544
kuna tukio moja ambalo jamaa alipigwa na jamaa mwingine, kisha yule mkosaji akakimbilia kituo cha polisi kuripoti kabla ya yule aliyejeruhiwa, na yule aliyejeruhiwa alipofika akawekwa selo kabla ya baadae kutolewa. hivi RB kwa nini inatumika kukomoana.