Sa si ndiyo hapo!!!! Yaani ni Rais akisema kitu basi wao wanakurupuka kurupaka tu bila kutafakari sasa habari wataandika wao? NONSENSE POLISI.Haya maagizo kwa mujibu wa sheria ipi?
au kauli ya polisi nayo ni sheria?
Waandishi wairuhusiwe kuchukua habari?