salam wana jf kuna tukio la mauaji kubaka na kudhalilisha wanawake lilitokea mwezi uliopita katika mtaa wa luchelele wilaya ya nyamagana ktk jiji la mwanza bahat nzur waathirika waliwatambua watu waliofanya hilo tukio na kuwataja na hatimaye kwa juhud za wananchi wakafanikiwa kuwakamata na kuwafikisha ktk vyombo husika lkn cha ajabu baada ya sku chache hao jamaa waliachiwa huru bila kumtaarifu hata mwenyekiti wa mtaa na wakaanza kutamba na kuwatishia wananchi waliowataja hv kwa hali hii polis tutawaamini?