MLA PANYA SWANGA
JF-Expert Member
- Jul 31, 2015
- 5,186
- 5,450
- Thread starter
- #21
Ni vigumu kuuficha ukweli.Marehemu hakuuawa kwa siri hadi picha zake zisionekane na kusambaa.hii ni kinyume na maadili.. wote waliohusika kupiga na kusambaza picha Mungu anawaona
Tambua siri hufichwa na mwenye siri sasa hapa mwenye siri ni nani ili naye awajibishwe kwa kusambaza siri yake kwa watu.
Muda umefika kila lililo la siri litajulikana tu.Askari na madaktari huja baadaye wakati picha zishachukuliwa.