MLA PANYA SWANGA
JF-Expert Member
- Jul 31, 2015
- 5,186
- 5,450
Jeshi la polisi lipo kimkakati kukwepa kuwa wao ndiyo wauaji wakuu wa Suguta aliyechomwa kisu na askari wa doria.
Wanadai askari alikuwa na ugomvi binafsi na marehemu suguta wakasahau kuwa huyo afande Marwa hakuwa pekee yake bali walikuwa askari wengine ambao kwa umoja wao wangezuia maafa hayo na kumkamata bwana Suguta na mmiliki wa bar na kuwafungulia kesi hadi kuwatia hatiani(ikiwa wangekutwa na kosa).
Nguvu hii kubwa kama itaachwa basi hakika walevi tutakoma maana itakuwa mkiwaona askari tu mnajua mwendo wa visu tu.
Jeshi la polisi kaeni chini mjitafakari mahusiano yenu na raia yakoje kwani kwa sasa hakuna anayeliamini jeshi hili imani pekee imebaki kwa JWTZ tu.
Angalieni komenti za watu inapotokea askari kafa au ajali mtajifunza mengi.
Hakuna kukwepa wala kuhusisha ugomvi binafsi na hili askari na jeshi la polisi ndiyo wauaji wakuu wa Innocent,Suguta.
Wanadai askari alikuwa na ugomvi binafsi na marehemu suguta wakasahau kuwa huyo afande Marwa hakuwa pekee yake bali walikuwa askari wengine ambao kwa umoja wao wangezuia maafa hayo na kumkamata bwana Suguta na mmiliki wa bar na kuwafungulia kesi hadi kuwatia hatiani(ikiwa wangekutwa na kosa).
Nguvu hii kubwa kama itaachwa basi hakika walevi tutakoma maana itakuwa mkiwaona askari tu mnajua mwendo wa visu tu.
Jeshi la polisi kaeni chini mjitafakari mahusiano yenu na raia yakoje kwani kwa sasa hakuna anayeliamini jeshi hili imani pekee imebaki kwa JWTZ tu.
Angalieni komenti za watu inapotokea askari kafa au ajali mtajifunza mengi.
Hakuna kukwepa wala kuhusisha ugomvi binafsi na hili askari na jeshi la polisi ndiyo wauaji wakuu wa Innocent,Suguta.