Polisi kukwepa mauaji ya Suguta!

Polisi kukwepa mauaji ya Suguta!

MLA PANYA SWANGA

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2015
Posts
5,186
Reaction score
5,450
Jeshi la polisi lipo kimkakati kukwepa kuwa wao ndiyo wauaji wakuu wa Suguta aliyechomwa kisu na askari wa doria.

Wanadai askari alikuwa na ugomvi binafsi na marehemu suguta wakasahau kuwa huyo afande Marwa hakuwa pekee yake bali walikuwa askari wengine ambao kwa umoja wao wangezuia maafa hayo na kumkamata bwana Suguta na mmiliki wa bar na kuwafungulia kesi hadi kuwatia hatiani(ikiwa wangekutwa na kosa).

Nguvu hii kubwa kama itaachwa basi hakika walevi tutakoma maana itakuwa mkiwaona askari tu mnajua mwendo wa visu tu.

Jeshi la polisi kaeni chini mjitafakari mahusiano yenu na raia yakoje kwani kwa sasa hakuna anayeliamini jeshi hili imani pekee imebaki kwa JWTZ tu.

Angalieni komenti za watu inapotokea askari kafa au ajali mtajifunza mengi.

Hakuna kukwepa wala kuhusisha ugomvi binafsi na hili askari na jeshi la polisi ndiyo wauaji wakuu wa Innocent,Suguta.
 
Hata uweledi wa jeshi letu uko low sana.Ukitaka kujua ni namna ya kujieleza kwa public linapotokea suala kama hili.Kwanza yule mkuu wa polisi aliyeeleza ukweli alipunguza hasira za raia kwa sehemu ila ataitwa kwani hata yule wa Iringa suala la Nondo aliusema ukweli but later wakaupindua.
 
Tutaujua ukweli kuliko matukio haya.
FB_IMG_1524982988168.jpg
 
Jeshi la polisi lipo kimkakati kukwepa kuwa wao ndiyo wauaji wakuu wa Suguta aliyechomwa kisu na askari wa doria.
Wanadai askari alikuwa na ugomvi binafsi na marehemu suguta wakasahau kuwa huyo afande Marwa hakuwa pekee yake bali walikuwa askari wengine ambao kwa umoja wao wangezuia maafa hayo na kumkamata bwana Suguta na mmiliki wa bar na kuwafungulia kesi hadi kuwatia hatiani(ikiwa wangekutwa na kosa).
Nguvu hii kubwa kama itaachwa basi hakika walevi tutakoma maana itakuwa mkiwaona askari tu mnajua mwendo wa visu tu.
Jeshi la polisi kaeni chini mjitafakari mahusiano yenu na raia yakoje kwani kwa sasa hakuna anayeliamini jeshi hili imani pekee imebaki kwa JWTZ tu.
Angalieni komenti za watu inapotokea askari kafa au ajali mtajifunza mengi.
Hakuna kukwepa wala kuhusisha ugomvi binafsi na hili askari na jeshi la polisi ndiyo wauaji wakuu wa Innocent,Suguta.
Wewe unawaelewa wakurya???? Marehemu na Marwa wote akisema nitakuchoma kisu huwa hawatanii, na kibaya waliongea kilugha. Hata kama waliwatenganisha ila alikuwa keshamjeruhi.
 
Wewe unawaelewa wakurya???? Marehemu na Marwa wote akisema nitakuchoma kisu huwa hawatanii, na kibaya waliongea kilugha. Hata kama waliwatenganisha ila alikuwa keshamjeruhi.
Ugomvi wa mtu na mtu. Kisu kinachomwa mgongoni na siyo usoni, tumboni, mikononi, kichwani. Au marehemu aligombana na zaidi ya askari mmoja?
 
Tanzania hatujabagatika kuwa na polisi ila tuna watu wanaovaa sare za kipolis kichwani watumwa tuu wa bashite
Hili neno ni kubwa sana umeliongelea.Ungelipangilia vizuri lina sauti kubwa mno.Big up mno.Akili kubwa hujadili na kufikiri kiasi hiki.Very good.
 
Hakuna Burudani ambayo naisubiri kwa hamu kama maelezo ya Police juu ya hili!
Washasema wao kama Jeshi hawahusiki,
Ule ni Ugomvi binafsi usiohusiana na kabisa Jeshi la Polisi,
Ila Sasa Polisi ameenda vipi na Kisu hapo hata mi sijui.
 
Back
Top Bottom