Jiwe_Tanzania
JF-Expert Member
- Jun 26, 2018
- 419
- 814
KABISAWajitahidi sana.. hata kuuza chupi hadharani iwe kosa.
Sababu ile nguo ukiiona tu.. Inaleta taswira ya tako.
Asante
KABISAWajitahidi sana.. hata kuuza chupi hadharani iwe kosa.
Sababu ile nguo ukiiona tu.. Inaleta taswira ya tako.
Asante
Hilo la wasanii ni geresha tu. Hii ni mbinu mpya ya Bwana Mkubwa Jiwe kutafuta wanaomtukana mitandaoni.
Huko tunakoelekea mpaka majumbani mwetu tutawekewa vikosi maalum sasa.
Ni Vituko Kukesha Mitandaoni Ili Kunasa Wapost Hizo PichaJeshi la polisi Tanzania limeandaa kitengo maalumu kitakacho fanya 'doria' mtandaoni kufuatilia wasanii pamoja na wale wanaotumia mitandao ya kijamii vibaya kutuma picha za utupu na video zisizo na maadili.
Akizungumza na waandishi wa Habari mapema hii leo, Msemaji wa jeshi la polisi Tanzania (ACP) Barnabas mwakaluka amesema kuwa kutokana na wasanii wengi kukaidi agizo la kuacha kusambaza picha zisizofaa wameamua kuunda kitengo cha kusimamia na sheria zitaanza kufuatwa kwa wote watakaopatikana na hatia hiyo kwa kupelekwa mahakamani.
Jeshi la polisi Tanzania limeandaa kitengo maalumu kitakacho fanya 'doria' mtandaoni kufuatilia wasanii pamoja na wale wanaotumia mitandao ya kijamii vibaya kutuma picha za utupu na video zisizo na maadili.
Akizungumza na waandishi wa Habari mapema hii leo, Msemaji wa jeshi la polisi Tanzania (ACP) Barnabas mwakaluka amesema kuwa kutokana na wasanii wengi kukaidi agizo la kuacha kusambaza picha zisizofaa wameamua kuunda kitengo cha kusimamia na sheria zitaanza kufuatwa kwa wote watakaopatikana na hatia hiyo kwa kupelekwa mahakamani.
Mkuu hao wanalipa kodi Hatuna shida naoHatuna dira ya kueleweka .... badala ya kushughulika na mambo ya maana wanashughulika na vitu visivyoongea?
Picha zisizokuwa za maadili sipo siku nyingi na zinatendelea kuwepo. Cha maana ni kuwafundisha vijana wetu madhara ya kuangalia picha hizo.
Badala ya kupiga marufuku kamali zilizojazana kila kona wanaangaika na picha?
Kamali ninazoziongelea ni hizi
3 mzuka
Jackpot bingo
kubeti
pool table
karata tatu n.k
Karibuni sana tuchat mitandaoniJeshi la polisi Tanzania limeandaa kitengo maalumu kitakacho fanya 'doria' mtandaoni kufuatilia wasanii pamoja na wale wanaotumia mitandao ya kijamii vibaya kutuma picha za utupu na video zisizo na maadili.
Akizungumza na waandishi wa Habari mapema hii leo, Msemaji wa jeshi la polisi Tanzania (ACP) Barnabas mwakaluka amesema kuwa kutokana na wasanii wengi kukaidi agizo la kuacha kusambaza picha zisizofaa wameamua kuunda kitengo cha kusimamia na sheria zitaanza kufuatwa kwa wote watakaopatikana na hatia hiyo kwa kupelekwa mahakamani.
Wajitahidi sana.. hata kuuza chupi hadharani iwe kosa.
Sababu ile nguo ukiiona tu.. Inaleta taswira ya tako.
Asante
Huyo ni wewe kwenye avatar😉Jaman kwann mbn nimevaa nguo