DuaZaMama
JF-Expert Member
- Jun 2, 2025
- 1,882
- 4,129
Jeshi la Polisi Mkoa wa Kilimanjaro limeeleza kuwa liliwashikilia vijana 300 kutoka maeneo mbalimbali mkoani humo kutokana na kudaiwa kushiriki vurugu zlizotokea siku ya uchaguzi mkuu Oktoba 29,2025.
Limesema kuwa baada ya kuwashikilia baadae liliwaachilia huru bila masharti yoyote, kutokana na kubaini kuwa hawakuwa na hatia kwani wengi wao walifika kwenye maeneo yaliyokuwa na vurugu, kutokana na maanadamano kwenda kushangaa tu kilichokuwa kikiendelea.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kilimanjaro SACP Simon Maigwa ameeleza hayo wakati akizungumza na Wanahabari Novemba 4, 2025 ofisini kwa Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro.
Limesema kuwa baada ya kuwashikilia baadae liliwaachilia huru bila masharti yoyote, kutokana na kubaini kuwa hawakuwa na hatia kwani wengi wao walifika kwenye maeneo yaliyokuwa na vurugu, kutokana na maanadamano kwenda kushangaa tu kilichokuwa kikiendelea.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kilimanjaro SACP Simon Maigwa ameeleza hayo wakati akizungumza na Wanahabari Novemba 4, 2025 ofisini kwa Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro.