pastor ameoteshwa ndotoni kuwa ni bomuPastor Achachanda acha kuongea kwa hisia,ongea kwa fact si kuhisi hisi,hata me nlkuwepo na nmeptia mafunzo ya jesh hakuna bomu la vile
Sio kweli. Hilo ni bomu. Kuna mkono wa fedha hapo. Kama kinafanana na bomu kitu gani kinaendelea?Nchi hii imeanza kuingiliwa na Alshabab na Al qaeda. Rejea bomu la kanisani huko Morogoro. Kwa nini iwe makanisani tu na sio misikitini kwa tul nabii?Sina imani na polisi.
Sio kweli. Hilo ni bomu. Kuna mkono wa fedha hapo. Kama kinafanana na bomu kitu gani kinaendelea?Nchi hii imeanza kuingiliwa na Alshabab na Al qaeda. Rejea bomu la kanisani huko Morogoro. Kwa nini iwe makanisani tu na sio misikitini kwa tul nabii?Sina imani na polisi.
Sina imani na polisi
Mhe.Pastor Acha' Ondoa hofu na utulize kifua.. Punguza bugudhaa na chuki, nakuogopea usijekumbwa na presha ya damu au magonjwa ya ulcer just be calm and fair!! Siyo kila tishio linalenga imani za watu Fulani. Nakusikitikia wewe kuishi na hali ya wasiwasi pole sana. Endesha kazi yako kwa imani na uadilifu. ubarikiweSio kweli. Hilo ni bomu. Kuna mkono wa fedha hapo. Kama kinafanana na bomu kitu gani kinaendelea?Nchi hii imeanza kuingiliwa na Alshabab na Al qaeda. Rejea bomu la kanisani huko Morogoro. Kwa nini iwe makanisani tu na sio misikitini kwa tul nabii?Sina imani na polisi.
Tuache kubishana hapa jamvini,Nenda kaangalie taarifa ya habar saa 5 usiku if not mis taken itv,Angalia size yake likiwa ardhini na lile la ofisin kamanda akiwa amekaa!!!La shekilango kubwa km nanasi lile la kamanda ni kipande cha chungwa..!Hilo ndio tatizo la watanzania, angekuwa mzungu ungemwamini. Hata lingekuwa bomu kweli bado ungesema limewekwa na Polisi. Kilichosemwa na Polisi ndio ukweli sema it is not in your favor.
Lile ni bomu wala halipingiki,Nimeona hzo habari ch 10,star&itv but size ya picha likiwa ardhn na kale alikokamata kamanda wa police ni kadogo mno..!AKILI NDOGO INATAWARA AKILI KUBWA.
Aliyena wa kwanza ni kubwa km nanasi!akampigia cm mama yake naye akaja akakiri ni km nanasi!Wameojiwa ktk vituo tajwa hapo juu..?Kuna taarifa ya habari saa 5 if not mis taken KAANGALIENI SIZE YA PICHA LIKIWA ARDHINI NA LILE KM KIPANDE CHA CHUNGWA LA KAMANDA.
Lile ni bomu wala halipingiki,Nimeona hzo habari ch 10,star&itv but size ya picha likiwa ardhn na kale alikokamata kamanda wa police ni kadogo mno..!AKILI NDOGO INATAWARA AKILI KUBWA.
Aliyena wa kwanza ni kubwa km nanasi!akampigia cm mama yake naye akaja akakiri ni km nanasi!Wameojiwa ktk vituo tajwa hapo juu..?Kuna taarifa ya habari saa 5 if not mis taken KAANGALIENI SIZE YA PICHA LIKIWA ARDHINI NA LILE KM KIPANDE CHA CHUNGWA LA KAMANDA.
hamna bomu la mkono lenye ukubwa kama nanasi.Lile ni bomu wala halipingiki,Nimeona hzo habari ch 10,star&itv but size ya picha likiwa ardhn na kale alikokamata kamanda wa police ni kadogo mno..!AKILI NDOGO INATAWARA AKILI KUBWA.
Aliyena wa kwanza ni kubwa km nanasi!akampigia cm mama yake naye akaja akakiri ni km nanasi!Wameojiwa ktk vituo tajwa hapo juu..?Kuna taarifa ya habari saa 5 if not mis taken KAANGALIENI SIZE YA PICHA LIKIWA ARDHINI NA LILE KM KIPANDE CHA CHUNGWA LA KAMANDA.
Lile ni bomu wala halipingiki,Nimeona hzo habari ch 10,star&itv but size ya picha likiwa ardhn na kale alikokamata kamanda wa police ni kadogo mno..!AKILI NDOGO INATAWARA AKILI KUBWA.
Aliyena wa kwanza ni kubwa km nanasi!akampigia cm mama yake naye akaja akakiri ni km nanasi!Wameojiwa ktk vituo tajwa hapo juu..?Kuna taarifa ya habari saa 5 if not mis taken KAANGALIENI SIZE YA PICHA LIKIWA ARDHINI NA LILE KM KIPANDE CHA CHUNGWA LA KAMANDA.
tumeshazoea kubadilishiwa sembe ikawa kitu kingine itakuwa bomu?