Weka picha
Kweli na nitakuwa tayari kulitolea maelezo ni nini maana niko vizuri kwenye mambo hayo.
Weka picha
Hilo ndio tatizo la watanzania, angekuwa mzungu ungemwamini. Hata lingekuwa bomu kweli bado ungesema limewekwa na Polisi. Kilichosemwa na Polisi ndio ukweli sema it is not in your favor.