POLISI: Kilichookotwa Ubungo-Shekilango SIO BOMU

POLISI: Kilichookotwa Ubungo-Shekilango SIO BOMU

Hilo ndio tatizo la watanzania, angekuwa mzungu ungemwamini. Hata lingekuwa bomu kweli bado ungesema limewekwa na Polisi. Kilichosemwa na Polisi ndio ukweli sema it is not in your favor.

Tatizo polisi wetu hawaaminiki wameshafisha maovu mengi sana na kuwadanganya watanzania
Baadae huwa ukweli unawaumbua.
Ukitaka reference nitakupa
 
Back
Top Bottom