Haijitoshelezi
maswali yangu hayajibiwi humo
SIJUI. SO far hadi vibaka wapo humo now
na hili ndo haswaa naliona
na wanakamata magari na kuchukua rushwa tayari now
je, hao polisi jamii ni kama sungusungu? au tofauti?
yaani hawa ndo vinara wa uhalifu, ukienda temeke wale vibaka ndo wamevalishwa uniform, buguruni pia, mwenge, ubungo, wanafahamika kuwa ndo wale wale vibaka lakini ndo wamepanda cheo wanaitwa polisi jamii, ukipita bara bara ya Tandare ni balaa tupu kila kituo wapo ni mateja ndo wamepewa uniform za polisi jamii. The Boss hata mimi nilikuwa na maswali kama yako, nitafurahi tukijibiwa wote
ULINZI SHIRIKISHI MKOANI SINGIGA WAMEWAKAMATA WATOTO 11 WAKISHIRIKI NGONO usiku wa kuamkia jana. watoto hao wana miaka kati ya 12 mpaka 15. Walikutwa wakifanya mapenzi katika chumba kimoja chenye kitanda kimoja kama ilivyoonekana katika television.