Polisi Iringa: Taarifa ya ajali ya magari kugongana kusababisha vifo na majeruhi pamoja na uharibifu wa mali

Mkuu fuso zinakimbia sanaa na ukute dereva kavuta cha arusha ndo balaa zaidi

Ndio maana tunatakiwa tujue chanzo cha tatizo, kama dereva alivuta bhangi ijulikane alikuwa amevuta bhangi na isemwe chanzo cha ajali ni kukosa umakini baada ya dereva kuvuta bhangi.

Na madereva wote tuwapige marufuku ya matumizi ya bhangi na tuweke mkakati na operation za mara kwa mara kuwapima kwa ghafla kwenye vituo maalumu.
 
Jaman mmoja wa majeruhi wa ajar hyo n ndg yangu kwakwel ameumia vby sn kichwan nlikuta yupo mapokez hospital ya mkoa iringa kwakwel kaumia vby sana TUMUOMBEE
 
Kapicha hako
 

Attachments

  • FB_IMG_1561487455685.jpeg
    FB_IMG_1561487455685.jpeg
    18.5 KB · Views: 13
Mnamo tarehe 25..06.2019 majira ya 05:45hrs maeneo ya Izazi kata ya Izazi tarafa ya Ismani wilaya ya Iringa na mkoa wa Iringa katika barabara kuu ya Iringa-Dodoma.
Gari lenye namba za usajili STL 3807 aina ya toyota hilux mali ya TARURA ikiendeshwa na Lodrick s/o Richard@Ulio, miaka 35, kabila mchaga na mkazi wa DSM likitokea Iringa kuelekea Dodoma liligongana uso kwa uso na gari lenye namba za usajili T 146 BAZ aina ya mitsubish fuso mali ya Wilson S/o Msenga wa Iringa likiendeshwa na Amos s/o ??? Wa Iringa likitokea Dodoma kuelekea Iringa.

Madhara

VIFO
1.Lodrick s/o Richard@Ulio-dereva wa TARURA

2.Joyce d/o Enezar@Mlay, miaka 45, kabila mchaga mkazi wa Moshi.

MAJERUHI
1.Ernest s/o Mgeni, miaka 49, kabila mkinga na mkazi Mbozi
2.Gervas s/o Myovela, miaka44, kabila mhehe mkazi wa Mbozi
3.Jamadin s/ Mikata, miaka 32 ,kabila mngoni na mkazi wa Mbozi

Wote walikuwa kwenye gari la TARURA na wamehamishiwa hospitali ya rufaa Iringa kwa matibabu.

Aidha, miili ya marehemu imekabidhiwa kwa meneja wa TARURA manispaa Iringa na kupekekwa Dodoma tayari kwa utaratibu wa mazishi.

Chanzo cha ajali ni uzembe wa dereva wa fuso kushindwa kulimudu gari lake na kusababisha kuhama upande mmoja na kugongana uso kwa uso ambaye amekimbia mara baada ya ajali hiyo na anatafutwa.

WITO
Madereva wawe makini wanapotumia barabara wasijione wako peke yao bali waheshimu sheria na watumiaji wengine wa barabara.
Hiyo scenario ndo naogopa kuliko zote barabarani.
Madereva wa Fuso mara ngingi ni vijana wa starehe na pombe.
Husinzia wakiwa kwenye usukani na kuhama hama site zao hivyo kusababisha ajali nyingi sana.
 
Mnamo tarehe 25..06.2019 majira ya 05:45hrs maeneo ya Izazi kata ya Izazi tarafa ya Ismani wilaya ya Iringa na mkoa wa Iringa katika barabara kuu ya Iringa-Dodoma.
Gari lenye namba za usajili STL 3807 aina ya toyota hilux mali ya TARURA ikiendeshwa na Lodrick s/o Richard@Ulio, miaka 35, kabila mchaga na mkazi wa DSM likitokea Iringa kuelekea Dodoma liligongana uso kwa uso na gari lenye namba za usajili T 146 BAZ aina ya mitsubish fuso mali ya Wilson S/o Msenga wa Iringa likiendeshwa na Amos s/o ??? Wa Iringa likitokea Dodoma kuelekea Iringa.
Madhara
VIFO
1.Lodrick s/o Richard@Ulio-dereva wa TARURA
2.Joyce d/o Enezar@Mlay, miaka 45, kabila mchaga mkazi wa Moshi.
MAJERUHI
1.Ernest s/o Mgeni, miaka 49, kabila mkinga na mkazi Mbozi
2.Gervas s/o Myovela, miaka44, kabila mhehe mkazi wa Mbozi
3.Jamadin s/ Mikata, miaka 32 ,kabila mngoni na mkazi wa Mbozi
Wote walikuwa kwenye gari la TARURA na wamehamishiwa hospitali ya rufaa Iringa kwa matibabu.
Aidha, miili ya marehemu imekabidhiwa kwa meneja wa TARURA manispaa Iringa na kupekekwa Dodoma tayari kwa utaratibu wa mazishi.
Chanzo cha ajali ni uzembe wa dereva wa fuso kushindwa kulimudu gari lake na kusababisha kuhama upande mmoja na kugongana uso kwa uso ambaye amekimbia mara baada ya ajali hiyo na anatafutwa.
WITO
Madereva wawe makini wanapotumia barabara wasijione wako peke yao bali waheshimu sheria na watumiaji wengine wa barabara.
RODERICK badala ya Lodrick.
URIO badala ya Ulio.
 
sasa bwana njagu ndugu wa marehemu mmewapa taarifa?? SIYO MTU ASOME HAPA NDIPO AJUE JAMAA YAKE KASHAVUTA..... tegemeeni vifo vya bp huko moshi.
 
Unaelewa maana ya 05:45 hours? Na tofauti yake na 17:00hours?
kwa hiyo wewe unaamini kwa muda huo hao polisi waliweza kufanya home work yao na kuwapata next of kins wa wafiwa wote na kuwapa taarifa kabla ya polisi kuitisha press?matokeo ya kuishi in a pithole country ndio haya hata middle class citizens hawana uwezo wa kutambua kuwa hili ni kosa,kwa mfumo tuliokuwa nao (nchi imekuwa kama choo hatutambuani)ni ngumu mno kupata taarifa kama hizi kwa muda mfupi kam,a huo.
 
kwa hiyo wewe unaamini kwa muda huo hao polisi waliweza kufanya home work yao na kuwapata next of kins wa wafiwa wote na kuwapa taarifa kabla ya polisi kuitisha press?matokeo ya kuishi in a pithole country ndio haya hata middle class citizens hawana uwezo wa kutambua kuwa hili ni kosa,kwa mfumo tuliokuwa nao (nchi imekuwa kama choo hatutambuani)ni ngumu mno kupata taarifa kama hizi kwa muda mfupi kam,a huo.

Ajali imetokea majira ya 5:00hrs, taarifa kwa vyombo vya habari ni 17:00hrs, wewe umejuaje kwamba polisi hawakupata muda wa kuwajulisha ndugu?

Yaani from morning to evening?

Otherwise labda uwe ni moja ya watumishi wa jeshi la polisi waliokuwa wanashughulikia hilo suala, ila vinginevyo, you're disqualified to be police spokesman to that extent
 
Back
Top Bottom