Polisi FFU wanavyojichukulia rushwa barabarani

Polisi FFU wanavyojichukulia rushwa barabarani

watu mmeamua kukinukisj

hakuna rushwa pasipo mtoaji, nasheria zipo wazi atoae au amshawishie mtu kupokea kushwa nae anakosa kwani hao wanoatoa rushwa huwa wananyang'anywa hela mfukoni mbona ka watu wanapiga kelele ilahali wenyewe ndo wanawaomba askari wasiwaandikie makosa ama wanatoa hela ili wasikaguliwe vilivyoo, watu waache unafiki bana kilasiku tunaona wafanyayo maderevaaa hasa wa daladala na gari nyingine binafsi
na huwa nasema,mambo mengi tz au africa hayaendi sababu ya unafiki.

unafiki unatukwamisha sana.hatuko real.
 
Ungekuwa na akili ungegundua kuwa
1. Hiyo picha imepigwa mbali
2. Imekuwa cropped sana kuondoa some details.

Simu ambayo imepiga hii picha ni moja ya the best simu camera. Sony Ericsson tuulize tulioanza kutumia simu miaka ya 1998. Tunaweza kukueleza kila simu uzuri wake na ubaya wake.
Hahahah... itaje basi hiyo simu acha kuzunguka.
 
Nyie askari wengi wenu mli fail form four ndo maana hata uwezo wa ku reason hamna kabisa. Wengi ni kama mbwa mkiambiwa kamata yule mnaenda bila kuuliza kwa nini.ndo maana sishangai kwa haya unayoandika ni sababu mlishatolewa ubongo mmebaki kama mbwa tu.
Hapana mkuu, kuna askari wana ufauru mzuri sana wa level za shule walizotoka tena wengine wana elimu kubwa (masters +) lkn bado wanatii amri za wakuu wao. Hiyo ndio nature ya kazi yao kutii kila amri iliyo halali
 
Hao wapo Mkuu. Na wana akili hata ukiongea nao au wakichangia humu JF wewe unaweza kuwa mmoja wao. But asilimia 90 ni wa hovyo.mi nawafaham jamaa zangu nlisoma nao O Level wawili walikuwa wezi,wavuta bhangi n.k waka fail mwaka 2014 nakutana na mmoja wao ananambia ni askari.nlichoka...kaendelea tabia zake this time akiwa na kinga.

Hapana mkuu, kuna askari wana ufauru mzuri sana wa level za shule walizotoka tena wengine wana elimu kubwa (masters +) lkn bado wanatii amri za wakuu wao. Hiyo ndio nature ya kazi yao kutii kila amri iliyo halali
 
Nakuaga na confidence kama mtoto wa mkubwa kumbe kajamba nani
Sema nyie waarabu koko mnajuaga kujishaua kichizi!!!
Kuna mmoja anatokaga kwao tandika anaenda slipway kula pizza
 
Back
Top Bottom