11 February 2026
Dr. Mambosasa afunguka kuhusu askari wanaokengeuka
View: https://m.youtube.com/watch?v=lUsH2nk4zVQ
Aullizwa kwanini raia wanakimbia wakiona Defender ya Polisi ?
DCP Mambosasa anasema Polisi wetu wanauwezo wa kugundua wahalifu, hatuendi mahali pasipo na uhalifu, ndiyo maana wahalifu hutimua mbio wakiona defender ya polisi
DCP Mambosasa askari wetu wanapikwa vilivyo chuoni na kupata weledi wa hali ya juu ktk kutekeleza majukumu yao wanayoagizwa na wakuu wao..
Dr. Mambosasa afunguka kuhusu askari wanaokengeuka
View: https://m.youtube.com/watch?v=lUsH2nk4zVQ
Aullizwa kwanini raia wanakimbia wakiona Defender ya Polisi ?
DCP Mambosasa anasema Polisi wetu wanauwezo wa kugundua wahalifu, hatuendi mahali pasipo na uhalifu, ndiyo maana wahalifu hutimua mbio wakiona defender ya polisi
DCP Mambosasa askari wetu wanapikwa vilivyo chuoni na kupata weledi wa hali ya juu ktk kutekeleza majukumu yao wanayoagizwa na wakuu wao..
January 2026
Polisi (DCP) Dkt. Lazaro Mambosasa, Mkuu wa Chuo Cha Taaluma cha Polisi DPA amefungua rasmi Mafunzo mengine kwa cohorts ( makundi) mbalimbali ya maafisa wa polisi lakini mafunzo hayo hayajaleta mabadiliko kwa tabia, mienendo na utendaji waa kufuata kanuni za polisi, sheria na katiba.
TOKA MAKTABA
2023 September 26
SACP Lazaro Mambosasa mkuu wa chuo cha taaluma ya polisi Dar es Salaam DPA
View: https://m.youtube.com/watch?v=maDp0_ph4nw
Chuo cha Taaluma ya Polisi (DPA) · Jeshi la Polisi laingia makubaliano na TIA katika tafiti na mafunzo. · Academic Programs offered at DPA..