jebs2002
JF-Expert Member
- Sep 3, 2008
- 8,833
- 7,597
Kufuata sheria bila shuruti ni kama ugonjwa kwetu, najuwa kuna kesi za kubambikiwa, ila ni chache sana, tufuate sheria, periodKusanyeni tu polisi mdereva wengine wazembe sana barabaran.hawazingatii sheria