Polisi akipokea rushwa live

Polisi akipokea rushwa live

Bwana Mapesa

JF-Expert Member
Joined
Apr 28, 2011
Posts
2,551
Reaction score
1,777



Katika pita pita nimekutana na hii video ikimuonyesha askari Polisi kijana kabisa akipokea rushwa kutoka kwa dereva wa gari ndogo. Pamoja na hali ilivyosasa lakini mambo bado hayajabadilika. Namshauri Mh. Magu aondoe mifuko kwenye sare zao labda kidogo tutapunguza hili tatizo.

========
UPDATES

Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Kipolisi wa Kinondoni, Jumanne Muliro amesema Jeshi hilo limemchukulia hatua za kinidhamu Askari Polisi aliyeonekana katika picha ya video akichukua rushwa
 
Mbona huwa wanaweka hata kwenye kofia? Imagine tutoe mifuko na kofia na tupige marufuku wasivae bukta itakuwa kichekesho.
 
Katika pita pita nimekutana na hii video ikimuonyesha askari Polisi kijana kabisa akippkea rushwa kutoka kwa dereva wa gari ndogo. Pamoja na hali ilivyosasa lakini mambo bado hayajabadilika.Mamshauri Mh. Magu aondoe mifuko kwenye sare zao labda kidogo tutapunguza hili tatizo.

Askari Polisi akipokea Rushwa live
Watakwambia wewe mchochezi, Mkulu mwenyewe alishasema askari lazima watembee kifua mbele
 
Kwani cha ajabu ni nini. Sisi tushazoea kutoa 10 kila siku. Maana hakuna wa kuwakemea. Nani yuko tayari kwenda kuacha gari polisi hadi ukalipe hiyo 30, au kwenda mahakamani kama umekataa kosa? Maana traffic police akishang'amua kua umekiuka sheria ya usalama yeye ndo mwisho. Hakuna haja ya kugombana nao. Msimbazi halali yao.
 
sasa ndugu kwa hali ilivyo hivi unataka askari wafanyeje? msipende kulaumu pasipo kuangalia hali halisi za kiubinadamu kwa lengo la kutaka muonekane mmepost..mmepata likes nying na kusapotiwa kusiko na maana! kwani rushwa ipo kwa askari tuu? au kwasababu wao wanafanya shughuli zao maeneo ya wazi na hata mnapata nafac ya kuchukua picha..nenda mahospitalin huko ukajionee gata ukose muda wa kupost hzo mbwembwe.
 

Katika pita pita nimekutana na hii video ikimuonyesha askari Polisi kijana kabisa akippkea rushwa kutoka kwa dereva wa gari ndogo. Pamoja na hali ilivyosasa lakini mambo bado hayajabadilika.Mamshauri Mh. Magu aondoe mifuko kwenye sare zao labda kidogo tutapunguza hili tatizo.

Hahaaa wataweka kwenye kofia.
 
Back
Top Bottom