Anasubiri nini bado hajafa tu watu wa dizaini hiyo kanisa na msikiti hawajui maana yake ni nini kwa hiyo hawana hofu ya mungu wengi wanakuwa ni wafusi wa ibilisi chochote wanaweza kifanya.
Kumbe watanzania mnawachukia ivo askari wenu! sikujua, maana naona hakuna hata mmoja anayetoa hata pole! Kama mlivyotoa pole kwa kina mangwear na wengine
Kumbe watanzania mnawachukia ivo askari wenu! sikujua, maana naona hakuna hata mmoja anayetoa hata pole! Kama mlivyotoa pole kwa kina mangwear na wengine