Ana ngoma..au kapigwa buti na demu afande mwenzie?ndio dili zao hao.....wakome kubaka kila demu wanaoona yupo kyk uwezo wake wa kumnyanyasa.
Mengine unakuta Demu kalidanyanya ili limpishe.....dia km unanipenda hata mbele ya risasi hembu nionyeshe kuwa ungeweza nizuia kwa mwili wako.
Wanaume wajinga huthibitisha kuwa ni wababe na watafanya lolote ku,iliki penzi kwa kujiondoa hivyo ktk kinyang`anyiro hivyo.