Nadhani baada ya kumtukana Kamanda, utakuwa umejisikia raaaha au siyo.
Tukisema haya maneno aliyoyasema wakati wa hukumu ndiyo ameambiwa akaongee hivyo tutakuwa tunakosea?
mimi kinachonishangaza ni hukumu,yaani kama ilikutwa na hatia maana yake ndiye aliyemfanyia Ulimboka alivyofanyiwa,nashangaa hadhabu yeke hiwe miezi sita
Kama kila mwaka mnachagua ccm kwanini wasiwaone wajinga na hizi hadithi?
Mara nyingi Mtu Mjinga na Mpu-mbavu ushabikia mambo ya Kijinga na ya Kipu-mbavu, hivi kutekwa kwa Dr. Ulimboka wewe ulinufaika na nini hadi uweze kuandika hiki ulichokiandika?
Huo ni ukweli sio tusi.... Kama hujui maana ya makengeza uliza uambiwe!
aisee!.... Kova atayaweka wapi yale makengeza yake!..... Nawachukia sana polisi wa tanzania!