Polepole yuko sahihi Binadamu ana Matamanio tu hana Malengo

Polepole yuko sahihi Binadamu ana Matamanio tu hana Malengo

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
104,319
Reaction score
183,534
Biblia inasema malaika alimwambia yule bwana aliyejiwekea malengo’ mpumbavu wewe Leo usiku wataitaka roho yako’

Malengo ya Adam yalikuwa mikononi mwa Mungu wa mbinguni mwenyewe ila yeye Adam alikuwa na Matamanio tu

Kwa mfano Matamanio ya Mwamba yalikuwa awe mwenyekiti wa kudumu Chadema lakini malengo ya Mungu wa mbinguni kwa Mbowe hayakuwa hayo ndio unaona Mabilionea wote wa Chadema Wenje, Mungai, Boniyai, Mdee, Sugu nk walimshindwa Mlalahoi Tundu Lisu

Ahsanteni sana 🙏
 
Ni sawa ila tusikose malengo katika maisha.

Chunga tamaa mbaya
 
mwaka huu mnalo…watu wanateseka kwa mambo ya ajabu…hata kama democracy ni changa Tanzania kwa nn wananchi wateseke kwenye ardhi yao
 
Ni mambo ya hovyo sn, Mbowe kaonyesha udhaifu mkubwa sn na ni aibu kwa mtu kama yeye, kazidiwa na Zitto Kabwe
 
Back
Top Bottom