Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 52,178
- 162,659
Jana mwanadada Mange katika account yake ya Instagram alikuja na habari nzito kidogo kuhusu ulinzi wa mheshimiwa habari ambayo hata mimi binafsi ilinishitua na kuniacha na maswali mengi kichwani mwangu.
Baada ya kusoma hiyo habari nilijua tu ni lazima itajibiwa/kukanushwa na vyombo husika na kama sio vyombo husika basi bwana Polepole lazima atajibu tu.
Kama nilivyofikiri,naona bwana Polepole teyari keshajitokeza kujibu na kukanusha habari hiyo na hii ikiwa si mara ya kwanza kwa bwana Polepole kumjibu mwanadada yule.
Swali langu ni je,Polepole ndio msemaji wa serikali?
Kama wahusika wameamua kupuuza taarifa hizo,kwanini Polepole ndio anahangaika?
Au bwana Polepole account iliyotumika kumjibu Mange si yako bali ni account fake?
Polepole wewe ni member mwenzetu hapa JF hebu tunaomba ujitokeze ili utoe ufafanuzi/majibu juu ya hili swala.
Baada ya kusoma hiyo habari nilijua tu ni lazima itajibiwa/kukanushwa na vyombo husika na kama sio vyombo husika basi bwana Polepole lazima atajibu tu.
Kama nilivyofikiri,naona bwana Polepole teyari keshajitokeza kujibu na kukanusha habari hiyo na hii ikiwa si mara ya kwanza kwa bwana Polepole kumjibu mwanadada yule.
Swali langu ni je,Polepole ndio msemaji wa serikali?
Kama wahusika wameamua kupuuza taarifa hizo,kwanini Polepole ndio anahangaika?
Au bwana Polepole account iliyotumika kumjibu Mange si yako bali ni account fake?
Polepole wewe ni member mwenzetu hapa JF hebu tunaomba ujitokeze ili utoe ufafanuzi/majibu juu ya hili swala.