Naipendatz
JF-Expert Member
- Jul 27, 2011
- 5,079
- 8,219
- Thread starter
-
- #61
Tuna mradi naye mkubwa sana, na una faida kubwa kwa Taifa, alitaka kuupitisha Kenya kwa sababu ya tabia chafu za jiwe, Ila jiwe lilipokufa kaurudisha TZ, na huo mradi ndiyo sababu kubwa ya yeye kuja, hajaalikwa na mtuM
M 7 tena,
Nacc tuwe tunaangalia marafiki wakuwaalika.Babu anataka kufia kwenye kiti cc kwetu ndio lulu.
Au kaalikwa na Mzee Ruksa?hapo itakuwa sawaaaa.
Ushawahi kujiuliza kwanini Mother nature hakuingilia kati chifu Mkwawa aliponyongwa? Au wapigania uhuru hawakumhitaji? Au hakufaa? Ni ujinga wa kiwango cha lami kuhusianisha kifo cha mtu na upuuzi wenu! Hata wewe unaweza kufa wakati wowote! Au unadhani Wakristu hawakumhitaji Pope John Paul II?? Basi tuone huyo atakaeishi mileleBado mnaendelea na hizi propaganda zenu? Ushawahi kujiuliza kwa nini "Mother Nature" aliamua aingilie kati ile "17th, March"?
John Paul alikuwa ashavuka 80 years huko, Huyu mpiga push up (Ili kumuonesha Lowassa yeye yupo fit) bado alikuwa ana vimiaka vya kuwatesa watu, Nature ikamfanya cha kumfanya....Ushawahi kujiuliza kwanini Mother nature hakuingilia kati chifu Mkwawa aliponyongwa? Au wapigania uhuru hawakumhitaji? Au hakufaa? Ni ujinga wa kiwango cha lami kuhusianisha kifo cha mtu na upuuzi wenu! Hata wewe unaweza kufa wakati wowote! Au unadhani Wakristu hawakumhitaji Pope John Paul II?? Basi tuone huyo atakaeishi milele
Awamu ya 5 ilikuwa ni awamu ya uovu kuliko awamu zote zimewahi kutokea nchi hii, kudhihirisha hilo "Mother nature" itself ikaamua "kurara nayo mbere", Kwa mara ya kwanza kikatokea kitu hakijawahi kutokea nchi hii....Nitajie upigaji kwenye awamu ya 6 Mkuu, hujanijibu hilo swali
Ni kama wamechanganyikiwa kwa sasa, hawajui washike lipi, waache lipiUsihangaike na sukuma genge ndugu yangu ni watu wasiojielewa
Huo upuuzi wenu wa kudanganya watu nchi tajiri matokeo yake mkaenda kukopa trilioni 20 ndani ya miaka 5, tena kwa mariba ya kibiashara! Na hatujawahi ambiwa hiyo hela imefanya nini zaidi ya blah blah za SGR na Stieglers, miradi ambayo haikumalizwa kwa wakati na ni mzigo mkubwa kwa taifa, Awamu ya 5 imeliingiza hili taifa kwenye majanga makubwa! Ila Uzuri "Ilishughulikiwa", now tuna amani...
Hivi huwa ni kijana au mzee? Very confusingHaka kajamaa kahovyo sana.
Kwanza hata kaongee kitu gani,hakana mvuto wala ushawishi.
Bora kangekaa kimya tu.
I second youHuyu ubongo umejaa fungus, serikali yao ya wauwaji ya awamu ya tano mbona walikuwa hawataki kukosolewa?
Mama amshughurikie huyu mbwa haraka maana kila kukicha yuko bize kupandikiza chuki na uhasi dhidi ya serikali ya awamu ya 6, ashughurikiwe haraka ili awe demo kwa Sukuma gang wote.
Ficha nyeti zako, akili kama SlowslowYupo sahihi.Nchi haieleweki inaelekea wapi.Lazima watu wasikae kimya.Zama za Magufuli hapakuwa na jambo la kukosoa ndio maana watu walikuwa kimya lakini kwa uongozi huu uliopo lazima watu waongee huku tozo,huku umeme,huku maji,kule wapigaji... yaani serikali ya hovyo kabisa
Ila madaraka matamu sana aisee yaan huez ona makosa ukiwa kweny diko 🍔🍔"Wana CCM wenzangu hatupaswi kukaa kimya pale ambapo Serikali inapofanya makosa, tuwe wakali na majasiri kukemea,tusiwe waoga, Katiba yetu ya Chama inatutaka kuisimamia kweli"- H. Polepole
My take:
Huyu na mwenzake Jiwe si ndio walimtimua Membe ambaye alitumia uhuru wake kama mwanachama wa CCM (Kama katiba ya chama inavyotaka) kuikosoa Serikali?
Huyu hajaevolve,bado yuko kwe steji ya pili sawa na Australopiphicus Boisei Hominid wa Mapangoni.Huyu na mwenzake Jiwe si ndio walimtimua Membe ambaye alitumia uhuru wake kama mwanachama wa CCM (Kama katiba ya chama inavyotaka) kuikosoa Serikali?
Hahahahahahahahahhahahahahahahahaha................Hivi huwa ni kijana au mzee? Very confusing
Umenena vyema Mkuu, siyo kwamba Serikali ya Samia itakuwa perfect, BIG nooo, ila madhaifu ya serikali hii hayawezi kufikia udhalimu uliofanyika awamu ya 5! Watu waliishi kama watumwa ndani ya nchi yao, mtu aliyekaa Ikulu hakutaka kukosolewa kwa lolote, the same time vijana wake aliowaamini ndio walikuwa hawa akina Sabaya, Bashite, Musiba n.k.!Mkuu achana na watu wasiojielewa kipindi watu walikuwa wananunua maiti mpaka 10m kutokana na gharama za matibabu hiyo bajeti ya wizara ya afya akapelekwa kujenga bwawa la umeme huku tukikaririshwa kuwa tunatumia pesa za ndani
Hukukuwa na chombo cha habari kilichokuwa kuwa huru kuandika habari hizo
Kwa kweli Mungu ni mkubwa kutepusha na kadhia hii
Hahahaha, Bado yupo "Zama za mawe za kale"Huyu hajaevolve,bado yuko kwe steji ya pili sawa Austrlopiphicus Boisei Hominid wa Mapangoni.
Huyu Mtu awekwe kwenye Zoo ili tuende kumiangalia.