Naipendatz
JF-Expert Member
- Jul 27, 2011
- 5,080
- 8,217
- Thread starter
- #61
Tuna mradi naye mkubwa sana, na una faida kubwa kwa Taifa, alitaka kuupitisha Kenya kwa sababu ya tabia chafu za jiwe, Ila jiwe lilipokufa kaurudisha TZ, na huo mradi ndiyo sababu kubwa ya yeye kuja, hajaalikwa na mtuM
M 7 tena,
Nacc tuwe tunaangalia marafiki wakuwaalika.Babu anataka kufia kwenye kiti cc kwetu ndio lulu.
Au kaalikwa na Mzee Ruksa?hapo itakuwa sawaaaa.