Polepole: Wana-CCM tusikae kimya Serikali ikikosea, tuwe wakali na jasiri kukosoa

Sijui kaliahidiwa kuachiwa urais na jiwe haka kajamaa kanahangaikaga hakatulii kanataharukika kilaleo kanaamini kanaakili kuliko vijana wooote tz. Tunajua miaka mitano michache lkn ndo kavumilie tuu hamna namna
 
Unaandika kama mtu mwenye mihemko asiye na akili timamu.Awamu ya uovu imetenda mambo makubwa mno watanzania tumejionea! Wala haihitaji nguvu kubwa kuelezea.Wakulima wamefurahia pembejeo za kilimo! Bodaboda wamenufaika na miundombinu ya kisasa! Wagonjwa wamefaidika na huduma bora za afya! Waliokuwa wanakufa kwa ubovu wa miundombinu wakielekea hospital wamenusurika! N.k n.k kama ndio uovu huo! Hakika ulikuwa uovu bora kabisa! Watanzania tumeukubali kabisa 100%
Awamu ya Propaganda, kwa hilo mliweza. Ok Chief umesema awamu ya 6 kuna upigaji sana, nitajie japo upigaji mmoja wa awamu ya 6
 
Sijui kaliahidiwa kuachiwa urais na jiwe haka kajamaa kanahangaikaga hakatulii kanataharukika kilaleo kanaamini kanaakili kuliko vijana wooote tz. Tunajua miaka mitano michache lkn ndo kavumilie tuu hamna namna
Ilikuwa alambe uKM baada ya Bashiru kupewa uKMK, "Mother Nature" akaingilia kati
 
Awamu ya Propaganda, kwa hilo mliweza. Ok Chief umesema awamu ya 6 kuna upigaji sana, nitajie japo upigaji mmoja wa awamu ya 6
Ni mengi mno tukianza kueleza hapa hapatatosha! Mfano mdogo tu, Tanzania ni nchi iliyobarikiwa rasilimali za kila aina.Kuanzia Mito,Maziwa Mbuga za wanyama,Madini n.k Lakini badala kiongozi mkuu afikirie namna gani ya kutumia rasilimali hizi ambazo nchi kama Kenya hawana ili kunufaisha Taifa badala yake anaenda kunyang'anya fedha mifukoni mwa watu! Alivyo hana akili eti tozo itatumika kujenga madarasa,Hivi unajua ameua biashara ngapi? Kutoa pesa mfuko wa kulia kuhamishia kushoto hiyo ni akili? Kodi ya miamala ilishakuwepo! Kwanini kuongeza mzigo mwingine kwa wananchi? Badala ya kubuni mbinu za kuingizia taifa kipato tena kwenye nchi tajiri kirasilimali?.Failure ya serikali yake mzigo wanabeba wananchi! Huu ni uwendawazimu
 
Polepole fungua moyo ukubaliane na hali yako ya sasa kuwa nguvu uliyokuwa nayo awamu 5 imeshuka baada ya mungu wenu kufa....wahuni wanasema "heshimu watu, sponsor ufa"
 
Ni mengi mno tukianza kueleza hapa hapatatosha! Mfano mdogo tu, Tanzania ni nchi iliyobarikiwa rasilimali za kila aina.Kuanzia Mito,Maziwa Mbuga za wanyama,Madini n.k Lakini badala kiongozi mkuu afikirie namna gani ya kutumia rasilimali hizi ambazo nchi kama Kenya hawana ili kunufaisha Taifa badala yake anaenda kunyang'anya fedha mifukoni mwa watu! Alivyo hana akili eti tozo itatumika kujenga madarasa,Hivi unajua ameua biashara ngapi? Kutoa pesa mfuko wa kulia kuhamishia kushoto hiyo ni akili? Kodi ya miamala ilishakuwepo! Kwanini kuongeza mzigo mwingine kwa wananchi? Badala ya kubuni mbinu za kuingizia taifa kipato tena kwenye nchi tajiri kirasilimali?.Failure ya serikali yake mzigo wanabeba wananchi! Huu ni uwendawazimu
Huo upuuzi wenu wa kudanganya watu nchi tajiri matokeo yake mkaenda kukopa trilioni 20 ndani ya miaka 5, tena kwa mariba ya kibiashara! Na hatujawahi ambiwa hiyo hela imefanya nini zaidi ya blah blah za SGR na Stieglers, miradi ambayo haikumalizwa kwa wakati na ni mzigo mkubwa kwa taifa, Awamu ya 5 imeliingiza hili taifa kwenye majanga makubwa! Ila Uzuri "Ilishughulikiwa", now tuna amani...
 
Huo upuuzi wenu wa kudanganya watu nchi tajiri matokeo yake mkaenda kukopa trilioni 20 ndani ya miaka 5, tena kwa mariba ya kibiashara! Na hatujawahi ambiwa hiyo hela imefanya nini zaidi ya blah blah za SGR na Stieglers, miradi ambayo haikumalizwa kwa wakati na ni mzigo mkubwa kwa taifa, Awamu ya 5 imeliingiza hili taifa kwenye majanga makubwa! Ila Uzuri "Ilishughulikiwa", now tuna amani...
Majanga makubwa yaliyoipeleka Tanzania uchumi wa kati na top 10 Africa kiuchumi.Hauna akili kabisa
 
Majanga makubwa yaliyoipeleka Tanzania uchumi wa kati na top 10 Africa kiuchumi.Hauna akili kabisa
Bado mnaendelea na hizi propaganda zenu? Ushawahi kujiuliza kwa nini "Mother Nature" aliamua aingilie kati ile "17th, March"?
 
Hahahaha, sikutegemea kama Polepole anaweza kujifedhehesha namna hii, mwenzake Bashiru kachutama
Nilichogundua ktk awamu ya
5 ni kwamba walikuwa wanamuogopa kayafa,heshima zilikuwa za woga wasijefanyiwa umafia.
Awamu ya 6
Hawamuogopi,
Hawamheshimu,
Hawamtii,
Ila wamemchukulia Poa
Ndio maana haka kajamaa kanabwatuka tu.
CCM itakuja kuwa na Umoja na nidhamu kwa wanachama hadi zitakapotenganishwa kofia ya
Urais na Uenyekiti wa chama.
 
Wakati anakula mezani pa mfalme hakujua hayo majukumu au kwavile leo hayuko sehem ya karamu ya malkia.binadamu tunasahau haraka sana.
 
Hawa wanafiki kipindi cha nyuma walikua wanasema tumwache mwenyekiti afanye kazi yake, mara tusimpangie mara kila zama na kitabu chake. Sasa hivi wanabweka kama vijibw* koko
 
Nilichogundua ktk awamu ya
5 ni kwamba walikuwa wanamuogopa kayafa,heshima zilikuwa za woga wasijefanyiwa umafia.
Awamu ya 6
Hawamuogopi,
Hawamheshimu,
Hawamtii,
Ila wamemchukulia Poa
Ndio maana haka kajamaa kanabwatuka tu.
CCM itakuja kuwa na Umoja na nidhamu kwa wanachama hadi zitakapotenganishwa kofia ya
Urais na Uenyekiti wa chama.
Hutakiwi kumuogopa kiongozi wako Mkuu, muheshimu, na akikosea muambie kwa heshima, Jiwe hakuruhusu hayo yote! Siyo kwamba Mama hawamuogopi or hawamtii, issue ni kwamba Mama hana time na Petty things, Angekuwa anatime/or angeamua kudeal na hivi vinyau vyote vingeufyata, hana muda huo mchafu! Karibu kesho tumpokee Museveni, tutakuwa naye kwa siku 3 TZ
 
Wakati anakula mezani pa mfalme hakujua hayo majukumu au kwavile leo hayuko sehem ya karamu ya malkia.binadamu tunasahau haraka sana.
Kumbe Uenezi unalipa zaidi kuliko Ubunge.
Sasa zile tetesi zilizovuma kuwa hawakutaka Hangaya aapishwe kuna ck itathibitika tu.
Huyu Mr Quick si alikuwa anajua nyeti nyingi za chama na maagizo ya kayafa.Deep defence inasubiri nini huyu mtu mropokaji kumuonya.
 
"Wana CCM wenzangu hatupaswi kukaa kimya pale ambapo Serikali inapofanya makosa, tuwe wakali na majasiri kukemea,tusiwe waoga, Katiba yetu ya Chama inatutaka kuisimamia kweli"- H. Polepole

FFHjG4pXMAAO1bq


My take:
Huyu na mwenzake Jiwe si ndio walimtimua Membe ambaye alitumia uhuru wake kama mwanachama wa CCM (Kama katiba ya chama inavyotaka) kuikosoa Serikali?
Huyu nae akae Kimia ,Kipindi Cha mwendazake naye akiwa kuaribu na mwendazake mbona kila aliekosoa alionekana adui wa TAIFA? Nikipindi watu wametoweka makwao mpaka leo hatujui WAKO wapi ,ni juzi tu wengine waliopita mwaka 2017 wanakutwa na majeraha wamekufa kwenye vyumba vya kifadhia maiti, anakwepaje laana hiii, pole pole ,Bashiru mkatubu , uchafu ulifanyika chini YENU, na boss wenu mwendazake ni MKUBWA Sana , ukiendelea na bila kutubu KWa imani YAKO tutamuomba mungua Angalau azibe kiungo kimoja kwenye mwili WAKO ila isiwe pumzi, tutaomba akazibe njia ya haha mdogo , nakupa siku 30 ukatubu ,ambatanisha toa msaada KWa masikini usiopungua m10 , nimemaliza ,ukidhalau hutajua KWAMBA hujui
 
Kumbe Uenezi unalipa zaidi kuliko Ubunge.
Sasa zile tetesi zilizovuma kuwa hawakutaka Hangaya aapishwe kuna ck itathibitika tu.
Huyu Mr Quick si alikuwa anajua nyeti nyingi za chama na maagizo ya kayafa.Deep defence inasubiri nini huyu mtu mropokaji kumuonya.
Utawala huu watu kama hawa wanaachwa tu wajivue nguo hadharani, ni utawala ambao unaongozwa na mtu safi kabisa, hana doa hata moja, huwezi kumchafua kwa lolote, nia yake ni kuivusha TZ kutoka sehemu moja kwenda sehemu nyingine! Mistakes za hapa na pale hazitokosekana, lakini tutafika Pahala!
 
M
Hutakiwi kumuogopa kiongozi wako Mkuu, muheshimu, na akikosea muambie kwa heshima, Jiwe hakuruhusu hayo yote! Siyo kwamba Mama hawamuogopi or hawamtii, issue ni kwamba Mama hana time na Petty things, Angekuwa anatime/or angeamua kudeal na hivi vinyau vyote vingeufyata, hana muda huo mchafu! Karibu kesho tumpokee Museveni, tutakuwa naye kwa siku 3 TZ
M 7 tena,
Nacc tuwe tunaangalia marafiki wakuwaalika.Babu anataka kufia kwenye kiti cc kwetu ndio lulu.
Au kaalikwa na Mzee Ruksa?hapo itakuwa sawaaaa.
 
Huyu nae akae Kimia ,Kipindi Cha mwendazake naye akiwa kuaribu na mwendazake mbona kila aliekosoa alionekana adui wa TAIFA? Nikipindi watu wametoweka makwao mpaka leo hatujui WAKO wapi ,ni juzi tu wengine waliopita mwaka 2017 wanakutwa na majeraha wamekufa kwenye vyumba vya kifadhia maiti, anakwepaje laana hiii, pole pole ,Bashiru mkatubu , uchafu ulifanyika chini YENU, na boss wenu mwendazake ni MKUBWA Sana , ukiendelea na bila kutubu KWa imani YAKO tutamuomba mungua Angalau azibe kiungo kimoja kwenye mwili WAKO ila isiwe pumzi, tutaomba akazibe njia ya haha mdogo , nakupa siku 30 ukatubu ,ambatanisha toa msaada KWa masikini usiopungua m10 , nimemaliza ,ukidhalau hutajua KWAMBA hujui
Huyu jamaa hakutakiwa kuongea kwa sasa, ila tushukuru tu utawala wao wa kidhalimu kuondolewa kwa nguvu isiyoonekana
 
Back
Top Bottom